Heaven on Earth
JF-Expert Member
- Mar 21, 2013
- 37,226
- 26,687
Sio mtanzania yule, hatumjui.mtanzania gani hata kutaja mikoa 10 ya nchi yake hajui. Hajui hamjui hata makamu wa raisi. Muache awat.mbe coz i dont care coz sio mtanzania
Kidume huyo awakamue mademu wote
Duuh!!! c mchezo. Inaonesha dem alikua anangunga balaaaa. Maana wazee wa TBS tumemchunguza dada yake mtu kunasehemu pipe ilinoga hadi akamvuta kwanguvu jamaa.
mhindi huyo
nimeishia kusimamisha tu.
Hapa nipo kwenye wakati mguumu.
nimeishia kusimamisha tu.
Hapa nipo kwenye wakati mguumu.
Waghana wanamtetea ndugu yao eti hakuna lolote .......hahahaha wiki nzima wanamsafisha, na selly anajiskia vibaya coz kaka yetu ni player na haoneshi dalili ya kutaka jumla....,......
ndio maana selly alikuwa anamwambia melvin kuwa anampenda Nando,melvin kamuuliza je mwenyewe
ana Idea yoyote kuhusu huko kupendwa
lakin inaonekana Nando hayuko deep kivile wala nini!!!!
Shoo za wanuka vikwapa
utazijua tu. Hamna la maaa zaidi ya kusubiri kuona nani atamegana na
nani. Ndiyo maana mko maskini na mafukara.
Mkuu watakuandama sio muda...hakuna MuAfrika anayependa kuambiwa ukweli mchungu.....refer to Sugu ambae tayari amekutana na vijana wa Pilato leo hii
Shoo za wanuka vikwapa utazijua tu. Hamna la maaa zaidi ya kusubiri kuona nani atamegana na nani. Ndiyo maana mko maskini na mafukara.