Mshiriki wa Tanzania BBA Uzalendo umemshinda!

Mshiriki wa Tanzania BBA Uzalendo umemshinda!

kila washiriki pale wanagegedana kwani wakifika mida ya usiku wanabadilisha rangi ndio ujue wako kungonoka zaidi IN SHORT BBA SIYO KITU CHA KUANGALIA.
 
Siangaliagi hiyo show...coz inanaukwaza moyo wangu...ni upuuzi mtupu...jinsi gn watu wanapenda na kuendekeza uzinzi...ndani ya siku chache ushatamani na kungonoka pia...mtu na heshima zako huwez fanya hivyo..ni mavilaza ndo wanaenda huko..hawana future na hawajalelewa ktk maadili ya dini zao..
 
Hii inatuonyesha Waafrica tunavyoendekeza ngono sijawahi kusikia au hata kama imetokea one off katika big brother UK
 
nimeishia
kusimamisha tu.
Hapa nipo kwenye wakati mguumu.

Unaona sasa hasara hiyo ya kuangalia shows zisizo na tija!
Mi nawashauri msipoteze mida yenu kuangalia BBA I doubt kama kuna
mafunzo yoyote pale
Bora uangalie entertaiments zingine kama football, movies, tamthilia nk
atleast unaweza ukapata mafundisho yoyote ila siyo hiyo BBA ITS USELESS KABISA.
 
Mtanzania au mumarekani huyo wajameni?kutwa aongelea marekani.....wa TZ bwana kuchakachua kila mahali hapa nyumbani alikosekana mtu mpaka kaenda kuzolewa huyo Nando toka America? kah.....kichefuchefutu.
 
Shoo za wanuka vikwapa utazijua tu. Hamna la maaa zaidi ya kusubiri kuona nani atamegana na nani. Ndiyo maana mko maskini na mafukara.

ulitaka tushabikie nini!!!!!!clouds fm
kama wewe ni fukara usidhani ni kila mtu.....
 
Siangaliagi hiyo show...coz inanaukwaza moyo wangu...ni upuuzi mtupu...jinsi gn watu wanapenda na kuendekeza uzinzi...ndani ya siku chache ushatamani na kungonoka pia...mtu na heshima zako huwez fanya hivyo..ni mavilaza ndo wanaenda huko..hawana future na hawajalelewa ktk maadili ya dini zao..

ila waliopo huku mtaani wanaongonoka kutwa kucha ndo wamelelewa kwenye maadili ya dini!!!!!!!

ni bora kama huangaliagi tu
 
Back
Top Bottom