Acha ushamba wewe , Kimombo ni lugha kama lugha zingine tuWamtake kwa lipi? Au kile kimombo alichomwaga mpaka wachina wakashindwa kuelewa wanawekwa juu ya minara ya simu au betri!!!
[emoji3][emoji3][emoji3] ili Ndalichako tumpe fomu ya kugombea na Zitto lazima kwanza akubali mdahalo BBC na Zitto kwa lugha ya kiingereza ili tumkomeshe Zitto! Profesa ukiona Zitto anakuzengua mwambie "Zitto you will stay over the police cello"Profesa Ndali hafahamu kunena kwa lugha ya Malkia Elizabeth. Sekta ya Elimu imemshinda
Ana dalali zote za kuwa MrundiProfesa Ndali hafahamu kunena kwa lugha ya Malkia Elizabeth. Sekta ya Elimu imemshinda
Ndiyo mnadanganyana hivyo hapo ufipa?Kigoma mjini na mbeya mjini itaumbua watu...na wa waki-force ushindi wengine wataishia Segelea ya kimataifa...mi simo.
Kwa haya majimbo CCM wasahau kabisa...who ever is candidate lazima aumie...Kigoma na Mbeya same as Arusha mjini..!!
Nani akufelishe wewe? Ndiyo tunamtaka sasa Kigoma mjiniHuyu mama si ndio alituhumiwa na waislam kuwa anawafelisha ila yeye akajitetea na kusema ni kompyuta?
Hahahaaa! Kwahiyo zilikuwa kompyuta kweli kama alivyojitetea eeh? Basi sawa nyie mchagueni tu haina shida
Ni vilaza wanajulikanaHahahaaa! Kwahiyo zilikuwa kompyuta kweli kama alivyojitetea eeh? Basi sawa nyie mchagueni tu haina shida
Hao wapiga kura kigoma mjini 90% wanatoka dini hiyohiyo unayowaita vilaza
Wakiendekeza ukilaza wao wataendelea kufeliHao wapiga kura kigoma mjini 90% wanatoka dini hiyohiyo unayowaita vilaza
Wamejionea live utendaji wakeYes, yawezekana hatoshi lkn tatizo la hao mnaowataja hawajiamini kabisa - huwezi kuwa na orodha ndefu ya maprofessa na madaktari wanaotegemea teuzi (wasiokuwa tayari kwa mapambano)
Sasa kama wananchi wa Kigoma wamemfuata kuomba awe Mbunge wao that means siasa si sehemu ya maisha yake.
Watafeli hata kumchagua huyo mama
Jumlisha na kile kizungu chake, lazima hao unaowaita vilaza wamchague
Tunajutia kura zetu watu wa mkoa wa Ruvuma tumewapa kijani tupo flamini hakuna kitu.