Kwa akili ya zitto anadhani kamkomoa magufuli. Sasa hao wenye mimba waliokosa hela ni wangapi na hao wasio na mimba waliokosa hela wangapi.? Unapoenda kuzungumzia masuala ya mimba kwenye dunia ya watu ambao wao watoto zao hawatarajii au sio utamaduni kupata mimba kizembe ni sawa na kusema
•huku kwetu watoto wa shule kupata mimba ni jambo la kawaida,
•ni janga la taifa,
•serikali imeshindwa na wazazi wameshindwa,
•kwamba wanaopata mimba ni wengi kuliko wasio na mimba.
•sawa atasema wanabakwa je ni kweli wengi wanabakwa au wanavua wenyewe chupi? Je nchi ina kiwango kikubwa cha wabakaji?
•tafsiri yake hata mama yake shuda salum (RIP)alisoma akiwa na mimba.
•lakini hata mama zetu tafsiri ni kuwa walisoma na mimba isipokuwa magufuli ndio kaharibu utaratibu wa watu kusoma na mimba.
Katika kitu kinachomkera kila mzazi ni binti yake kupata mimba akiwa shuleni. Wazazi wengi walitamani kifanyike kitu cha kuwatisha binti zao ili wasichezee shule. Hii iliwapa woga fulani na iliwaepusha pia na madhara mbalimbali. Hata wazazi wengi waliwakumbusha binti zao hatari ya kupata mimba kwa maana ya kupoteza shule.
Kuna mwandishi wa literature alisema mtu anayependa umaarufu akishindwa kupata umaarufu kwa mambo mazuri hufanya mambo mabaya kupata umaarufu.
Zitto alizoea madhaifu ya ccm kupatia umaarufu. Anzia ishu ya buzwagi. Sasa amekuwa akiibuka na hoja mara takwimu, mara CAG,mara ndege used lakini watu wameshampuuza. Anadhani kuzuia hela kamkomoa magufuli wakati hizo pesa zingewasaidia na wanakigoma waondokane na ujinga.
Alivyokuwa mjinga eti anavimba kifua akiamini kafanya jambo la maana. Kuna msemo unasema colonialists planted the seeds of their own destruction. Na ujuaji hupofusha maono. Ndicho anachovuna au atakachovuna huyu bwana.
Maisha aliyoishi enzi za jk hayatajirudia tena. Apambane tu apate pesa kwa njia halali kama watanzania wengine.
Sent using
Jamii Forums mobile app