Hawa ndio maprofesa wetu wa huko Ccm
Hata mm nmeshangaa sana.Kipimo chako cha pesa ni magari na biashara standi na magulioni? Mkuu embu toka huko mkoani upate exposure kidogo
Kwako mafanikio ni nini?
[/QUOT
Njoo mjini Mkuu ndiyo utajua kama hao unaowaona ni role model wako wamefanikiwa ama la, ni hilo tu Mkuu
Wao mwili wao ni pato na mwili wao pia ni matumizi.
Nataman siku mkubali kuna wanawake wanajitegemea wnyeq sijui kwann mnaamin kila mwanamke mwnye hela anakuwa anafadhiliwa na men
Wapo Mkuu wanawake mafanikio yao hayana Mkono wa mwanaume ila wachache sana ,, ila wanawake wengi wanaona ni haki yao kuhongwa,,kufunguliwa biashara kubwa mjini, kujengewa, kununuliwa baby walker ,, nguo ,taulo , wigi nk.
Wanawake wengi mafanikio yao ni mafao ya viuno vyao. Ila wapo wachache wanapaswa kupongezwa sana.
Sasa mbn hunipi kongole mkuu ktk hao wachche