Mshkaji wangu anataka kumroga mama watoto wangu

Mbona anaonekana bado anampenda sana mke wake πŸ˜…πŸ˜…
Usisikilize walimwengu hawana wema

Hawana wema hao......

Tupatapo neno tulichuje lililo jeema liwe letuuu mpenzi wangu nakupentaaaaa

Mpenzi wangu ulivyo umbikaaaaa katika viumbe umezidi wote!
 
Siwezi oa wanyaki nasikia wana midomo so poa......
Oya acha tu mengine sio vizuri hapa kuyaelezea wana mazuri lakini kwenye zuri baya halikosekani kwa hio sitaki kuwazungumzia vibaya ila basi tu mengine tuyaache yapite ubaya ni kitu kimoja wanafanyaga sana ukarimu ila ukiwavuruga wanajitenga km nyama za mishkaki yaan ni hivyo ndio unachoona kinaendelea kwa mwamba but all in all jamaa anapigwa vita apotee kabisa yaan nia ni kumuangamiza kabisa asiwepo kabisa duniani ili mwanamke ajinome na wanae kilichobakia km kuna minofu ya mali mali alizotafuta ndio hizo zinatolewa macho na mwanamke hapo
 
Wanyaki ni watata sana mkuu? Kuna young bro anataka kuoa huko.
Hio ni shauri yake mwambie na yeye aende akajichumie dhambi mimi sitaki kuwaongelea sana sio msemaji wao ila awe na tahadhari wanyaki ni wakarimu mwanzoni mnapoanza safari ikichanganya anakuonyesha rangi raangi zingine ambazo mwanzo haukuziona, hapo akili lazima ikurudi na km una mkono mwepesi basi utatupa makofi na ukifanya hivyo tu umejivurugia maana hio vita haitoisha leo wala kesho
 
Anhaa nimeshaisoma hii game, hapa unachoogopa ni mama watoto kupigwa juju ! Usihofu mkuu atakaa sawa juju ikimuingia vizuri inaonekana saivi ana kiburi pro max na anakudharau sana zaidi ya sana
Jamaa angemsaidia anachukua kimvuli anamtuliza huyo mwanamke.
 
Mwanangu hiyo zaburi siyo nzuri kuisali sali sana, kuna mistari humo inamaanisha yalinikuta mm mtu akapotea mazima
 
πŸ€”πŸ€”
 
Lkn asiuze au kuwekwa dhamana bila kukupa taa taarifa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…