Mshtuko kwenye Pumbu

Albosignathus

JF-Expert Member
Joined
Apr 26, 2013
Posts
4,886
Reaction score
1,038
Habari Wana JF.

Jamani pumbu langu la kulia linakuwa na mshtuko wa maumivu kwenye mshipa mdogo pindi mbegu za kiume zinapotoka lakini ninapokuwa nasugua mzigo, kutembea au hata nikibinya hakuna maumivu yoyote. Naombeni msaada haraka wakuu ili niendelee kula mizigo kwa raha.

Huo ni ugonjwa gani au ni dalili za ugonjwa gani? Dawa kwa alienayo? Kila siku napiga kimoja vipi inaweza kuwa chanzo cha TATIZO?
 
hizo ni dalili za upungufu wa shehena kwenye kichupa

tatizo unakikwangua sana acha kijae jae

Duuuh...siyo kwamba shehena imejaa sana na hazijatolewa, zimeanza kushika kutu?
 
Jamani acheni masihara nipeni ushauri wa kweli na dawa
 
Ili Upone Vizuri Na Uwe Na Amani Ya Kuendelea Kuishi Hapa Duniani Unatakiwa UKAHASIWE Mkuu Hivyo Fanya Tu Upesi Vinginevyo Utakufa.
 
Kwanza ni pumbu ya kushoto au ya kulia...? Mara nyingi pumbu ya kushoto ndio inaletaga shida sana
 

Chukua sufulia alafu Tia maji ya bahari alafu dumbukizo bumbu umo kwa dakika 5 alafu toa.. Basi iyo ndo dawa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…