Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
wako makiniKumbe SANI ni gazeti makini eenh?
Hapa ishu ya mwakyembe kuingilia swala la madawa ni strategy ya kuwapumbaza watu na kutufanya tuone tunafika kwenye suluhisho la hili tatizo. Na kwa reputation yake wengi wanaamin anapambana kweli bt kiukwel kawekewa limit ya ku deal na hii ishu.
Tunaweza kujiuliza mamlaka ya kuwafukuza askari kaitoa wap?au kuwabadilishia post tu hao walinzi wa airpot anaweza vip? Hajaagizwa kwel?
kingine habari inadai kina masogange walikuwa na mabegi 9, well but airpot SA walikamatwa na begi 6 so 3 hazikukamatwa! Packaging ni kwamba walikuwa na kilo 60 za madawa kama mzgo wa mkononi kwa kila mmoja na kilo 90 kama mzgo wa zaida. So kama walikamatwa na begi 6 manake walikuwa na kilo 60 na hizo beg 3 ndo zilikuwa na hizo kilo 90 kama mzigo wa ziada.
kama huyo mshkaji alikimbia na beg 3 akawatoa mhanga kina masogange ili atembee na huo mzigo mwingne of which the plan work as jamaa hakukamatwa na hizo beg 3 hazikuonekana huko SA.
Na huyo mshkaji ndo mwenye huo mzigo au yeye alikuwa ana monitor tu usafirishaji? Manake hilo halijawekwa waz na mh. Wazir.