Mshumaa vs kiuno vs baba lao

Mshumaa vs kiuno vs baba lao

Wasiokiwa na kazi za kufanya, jobles ,marioo,ving'asti na mashoga ndio hulala na kufikiria upuuzi kama huu wa kufananisha watu kila siku,

Kwanini usijilinganishe wewe na diamond kimafanikio ili upate hasira ya kutoboa....

Huu ni ushoga kama ushoga mwingine shubamitt
 
Wasiokiwa na kazi za kufanya, jobles ,marioo,ving'asti na mashoga ndio hulala na kufikiria upuuzi kama huu wa kufananisha watu kila siku,

Kwanini usijilinganishe wewe na diamond kimafanikio ili upate hasira ya kutoboa....

Huu ni ushoga kama ushoga mwingine shubamitt
Wewe ambaye sio jobless unafanya nini kwenye huu uzi?
 
Wacha wenge wewe... marioo ni msanii mzuri lakini si wakumfananisha na mkali wa hizi kazi Ali salehe kiba ... wacha kuaminisha watu ujinga.
UKIMSIKILIZA WEWE MARIOO INATOSHA.
Hakuna aliyekulazimisha kijana,hauwezi kuulazimisha msukule kula matunda..!
Wewe endelea kumsikiliza mfalme wako, ila kwangu mimi ameshaishiwa, huu wimbo wake ni "takataka" kama "takataka" zake nyingine zilizopita, siwezi kuuweka kwenye device yangu, coz ili niiweke hii "takataka" ni lazima nichague wimbo wa kufuta na siwezi kufuta wimbo wowote kwasababu ya hii "takataka" , nimeshamchangia view kwa YouTube inatosha..!
Tusameheane tu..!!!
 
Hakuna aliyekulazimisha kijana,hauwezi kuulazimisha msukule kula matunda..!
Wewe endelea kumsikiliza mfalme wako, ila kwangu mimi ameshaishiwa, huu wimbo wake ni "takataka" kama "takataka" zake nyingine zilizopita, siwezi kuuweka kwenye device yangu, coz ili niiweke hii "takataka" ni lazima nichague wimbo wa kufuta na siwezi kufuta wimbo wowote kwasababu ya hii "takataka" , nimeshamchangia view kwa YouTube inatosha..!
Tusameheane tu..!!!

Haya potea.... kasikilize hao wakina emanuel mbasha na mkewe
 
Injiniaaa....
Screenshot_20191109-104743_YouTube~2.jpeg
 
Hakuna aliyekulazimisha kijana,hauwezi kuulazimisha msukule kula matunda..!
Wewe endelea kumsikiliza mfalme wako, ila kwangu mimi ameshaishiwa, huu wimbo wake ni "takataka" kama "takataka" zake nyingine zilizopita, siwezi kuuweka kwenye device yangu, coz ili niiweke hii "takataka" ni lazima nichague wimbo wa kufuta na siwezi kufuta wimbo wowote kwasababu ya hii "takataka" , nimeshamchangia view kwa YouTube inatosha..!
Tusameheane tu..!!!
Yaani huwezi ficha chuki zako kabisa[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Sipendi alikiba anavyoanzaga na "yoooooo"

Nimeupenda huo wimbo wake "ni mzuri"

japo msg yake sio ya kuwekewa hilo BEAT

beat limechangamka then MSG ya "simanzi"

Producer sijui aliwaza nini,any way mi sijui mziki na wala sio mtayarisha muziki

ila Beat hilo na msg ya wimbo HAPANAAAAA


wimbo mzuri lakini
 
Haya potea.... kasikilize hao wakina emanuel mbasha na mkewe
Hao uliowataja ni watu gani..?
Now niko nasikiliza albamu ya "Memories Do Not Open" kutoka kwao Chainsmokers nikimaliza kusikiliza hii albamu nitasikiliza albamu ya "Ascend" kutoka kwake Illenium...
Mkongwe, hizi "takataka" za Ali Kiba na Diamond na hao wengine ulionitajia hapo juu ninawaachia watu kama wewe..!
 
Hao uliowataja ni watu gani..?
Now niko nasikiliza albamu ya "Memories Do Not Open" kutoka kwao Chainsmokers nikimaliza kusikiliza hii albamu nitasikiliza albamu ya "Ascend" kutoka kwake Illenium...
Mkongwe, hizi "takataka" za Ali Kiba na Diamond na hao wengine ulionitajia hapo juu ninawaachia watu kama wewe..!
Curryyyyy for threeeeeeee baaaang
 
Back
Top Bottom