Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Siku Zote ubora wa bidhaa hata za aina moja haziwezi kufananakwa nini moja au mbili na sio zote.., kwani zote haziwezi kuwa nzuri
Chainsmokers sio watu wazuri mkongwe...Aisee kaka naisikiliza hyo album mwez sasa siiachi, chainsmokers ni hatarii
Ulichukulia too personal fella. Anyway enjoy ya weekend dwagUnajuaje leo nimeamua kurifresh tu akili yangu, by the way hii ni weekend tu.
Ulichukulia too personal fella. Anyway enjoy ya weekend dwag
Kakojoe hatuna mashabki viaziMimi ni shabiki wa diamond ila mpaka sasa nimesikiliza mara nyingi zaidi wimbo wa mshumaa kuliko wa baba lao na mpaka sasa nasikiliza hapa.
Kwa kuhitimisha mshumaa ni kali zaidi.
Hamna alichoimbaSipendi alikiba anavyoanzaga na "yoooooo"
Nimeupenda huo wimbo wake "ni mzuri"
japo msg yake sio ya kuwekewa hilo BEAT
beat limechangamka then MSG ya "simanzi"
Producer sijui aliwaza nini,any way mi sijui mziki na wala sio mtayarisha muziki
ila Beat hilo na msg ya wimbo HAPANAAAAA
wimbo mzuri lakini
Punga weweHii baba lao mbona ni kopi ya Nigeria talinganishaje alieumiza kichwa na alie copy melody akaweka maneno
Ahaaaaaah unatafuta pa kuhemeaMshumaa imesimama zaidi, nimegundua kuna faida kutoa nyimbo mara moja moja. Kiba kasema wimbo huu aliutunga pamoja na ule wa hadithi mwaka 2009 lakini ukiusikiliza ladha yake sio mchezo
MmmhWewe mke wa anko shamte njoo kule... mbuzi mwekundu wewe
Mimi baba lao hii ni Mara ya 10000 nadhani sawaNa niseme ukweli tu, toka asubuhi nimeamkaa nasikiliza tu mshumaaa tu, hii ni mara ya 100 nadhani
Kweli hamna kitu pale aende zake mombasaAlikiba nyimbo mbaya
Mimi baba lao hii ni Mara ya 10000 nadhani sawa
Acha bangi zako usifananishe baba lao na hizo pumba zakoTo be honest Kiba katoa pini hatari Sana , ikifuatiwa na UNO, Mond katoa wimbo wa hovyo kuwah kutokea
Kati ya uno na baba lao upi umepigiwa promo,acha bangi sema baba lao imewaingiaUNO imekaa njema,,,,,Wimbo wa DOMO unapelekwa na Promo tu.....Mie najua maneno ya DANGOTE BABA LAO basi yaani chorus tu asisahau kumpa Shout it out jamaa aliyemcopy.
" Baba lao magufuri " alisikika mpumbavu mmoja akiimba . Pumbavu sana huyu Lumumba . Diamond Hana akili mi namdharau sana . Unamsifuje nduli magufuri.
Mxieeeeeeew !
Kalale kenge mkubwa wewe diamond baba laoNaona baada ya kubinua makalio yako kwa staili ya kingedere ngedere umekuja na nyegezi kama zote kwenye majukwaa kumtetea mumeo chibu