Msiba gani umekuumiza sana huu mwaka 2021?

Msiba gani umekuumiza sana huu mwaka 2021?

Nikikumbuka kauli zake za kutufanya tuone tunaweza,,
Kauli zake zenye maashirio kwamba mkuu kaongea,
Kauli zake zenye kutaka tumuombe na kumtumainia Mungu,

Kauli za kututaka tuchape kazi kwa bidii,,, zilinipa hamasa sana sana ya kujituma na miaka hii MINNE kwangu imekuwa bora zaidi na zaidi

Kauli zilizojaa viashiria vyenye uzalendo na mapenzi kwa Taifa lake

Ama kwa hakika Tutakukumbuka sana kipenzi chetu Hayati Dk John Magufuli
 
Tokea mwaka uanze ndo kwanza tuko mwezi wa 7 ila tokea January mpk sasa kuna misiba mingi imetokea. Kwa upande wako taarifa za kifo cha nani mtu maarufu zilikuhuzunisha na kukusikitishasana huu mwaka 2021?
Lengo lako ni magufuli huna jipya
JamiiForums-1797793390.jpg
 
Nikikumbuka kauli zake za kutufanya tuone tunaweza,,
Kauli zake zenye maashirio kwamba mkuu kaongea,
Kauli zake zenye kutaka tumuombe na kumtumainia Mungu,

Kauli za kututaka tuchape kazi kwa bidii,,, zilinipa hamasa sana sana ya kujituma na miaka hii MINNE kwangu imekuwa bora zaidi na zaidi

Kauli zilizojaa viashiria vyenye uzalendo na mapenzi kwa Taifa lake

Ama kwa hakika Tutakukumbuka sana kipenzi chetu Hayati Dk John Magufuli
Sema kipenz chako kubwa jinga ww
 
Nikikumbuka kauli zake za kutufanya tuone tunaweza,,
Kauli zake zenye maashirio kwamba mkuu kaongea,
Kauli zake zenye kutaka tumuombe na kumtumainia Mungu,

Kauli za kututaka tuchape kazi kwa bidii,,, zilinipa hamasa sana sana ya kujituma na miaka hii MINNE kwangu imekuwa bora zaidi na zaidi

Kauli zilizojaa viashiria vyenye uzalendo na mapenzi kwa Taifa lake

Ama kwa hakika Tutakukumbuka sana kipenzi chetu Hayati Dk John Magufuli
Pole. Bado unatekeleza mambo aliyokuwa anasema au umevunjika moyo
 
Malcom mtoto wa Masoud Kipanya.
Hata mimi nimeumia na huu msiba. Nilikuwa simjui nimemfatilia leo youtube baada ya kuona taarifa ya kifo chake. Baada ya kuangalia videos zake nimejisemea mwenyewe kuanzia leo naacha kulalamika sana. Alikuwa na moyo wa kishujaa. RIP
 
TB Joshua,
Yani hadi sasa nikiangalia scoan nalia tena!
😪😪
 
Raha ya milele uwape eebwana,na mwanga wa milele uwaangazie, wapumzike kwa amami. Amina
 
Kifo cha Jiwe kilinipa furaha sana.
Alikuwa kikwazo kwa ustawi wangu.
Mama Juni kanifanyia surprise nimepanda daraja jana nimeenda NBC kukopa mamilioni.
Yaani Jiwe angekuwa hai nisingeyapata.
Asante Mungu
 
Dah![emoji24]
My dad.
My cousin brother.
My cousin sister.
My uncle.
Magufuli.
Man...I just shed tears again![emoji24][emoji24][emoji24]
 
Back
Top Bottom