kalisheshe
JF-Expert Member
- Mar 19, 2020
- 2,064
- 4,056
Mara yangu ya Kwanza kuona nilishangaa Sana. Watu walikua wamelewa chakali.Kuna baadhi ya misiba unakuta hadi bia na soda. Wakati hivi vitu tumezoea ni kwenye masherehe tu.
Kuna baadhi ya misiba unakuta hadi bia na soda. Wakati hivi vitu tumezoea ni kwenye masherehe tu.
Siku hizi hadi sare, wanakodi watu wa catering na wa wamapambo. Inakodiwa kwaya pale. Wewe apana chezea msiba wa tajiri wewe. Tunakoelekea tutakwua kama Marekani unapewa kadi kuhudhuria msibaKuna baadhi ya misiba unakuta hadi bia na soda..akat hv vitu tumezoea ni kwenye masherehe tu.
Walikuwa wanatafuta nguvu za kulilia na kujikamua mafuaMie kwa mara ya kwanza kuona hayo mambo ni msiba wa bamkwe!...yaan watoto plus mama wanamiminiana tu konyagi wanaliaaaa ikiisha wanakunywa tena! Ukweli haitakjja nitoka akilini!...sijui wanapata wapi hizo nguvu
Kuna msiba mmoja nilienda dada analia hatari wakunyanyua, sasa mama aliyelala pale akawa anaguna nikamuuliza mama vipi? Eti yule anavyolia pale amekesha anakunywa bia [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mara yangu ya Kwanza kuona nilishangaa Sana. Watu walikua wamelewa chakali.
Mimi kabla sijaenda kwenye msiba lazima nipige bia na konyagi kwanza maana staki kwenda kulia lia huko, nikifika huko nakuwa ngangariMie kwa mara ya kwanza kuona hayo mambo ni msiba wa bamkwe!...yaan watoto plus mama wanamiminiana tu konyagi wanaliaaaa ikiisha wanakunywa tena! Ukweli haitakjja nitoka akilini!...sijui wanapata wapi hizo nguvu
Mimi kabla sijaenda kwenye msiba lazima nipige bia na konyagi kwanza maana staki kwenda kulia lia huko, nikifika huko nakuwa ngangari
Ukweli sie upande wetu tuliondoka na picha mbaya sana...! Ulwwso mmeo anakufa unakaa na bapapembeni unaweza?Walikuwa wanatafuta nguvu za kulilia na kujikamua mafua
Labda kama hajakuuma au umehusika katika kumtoa roho lakini mwenza unayependana naye sizani ukiwaza tu unaishiwa nguvu itakuwa bapa?Ukweli sie upande wetu tuliondoka na picha mbaya sana...! Ulwwso mmeo anakufa unakaa na bapapembeni unaweza?
[emoji23][emoji23][emoji23]Nimecheka kwa sautiKuna msiba mmoja nilienda dada analia hatari wakunyanyua, sasa mama aliyelala pale akawa anaguna nikamuuliza mama vipi? Eti yule anavyolia pale amekesha anakunywa bia [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Piga picha huo ulikuwa msiba wa Baba yao, je msiba wa jirani [emoji23][emoji23] na alikuwa na mimacho mikubwa haaa haaa[emoji23][emoji23][emoji23]Nimecheka kwa sauti
UmemalizaLabda kama hajakuuma au umehusika katika kumtoa roho lakini mwenza unayependana naye sizani ukiwaza tu unaishiwa nguvu itakuwa bapa?
[emoji28][emoji28] kwa hizi akili uchumi wa Kati tutausikia tu.Kuna msiba kila diku walikuwa wanashusha kreti za bia na soda na maji ya kilimanjaro, kupika wapishi wamekodiwa ndio wanapika. Ng'ombe wanadondoka tu!!
Kwakweli hata mimi nilikuwa muombolezaji wakati hata aliekufa simfahamu.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji28][emoji28] kwa hizi akili uchumi wa Kati tutausikia tu.