kalisheshe
JF-Expert Member
- Mar 19, 2020
- 2,064
- 4,056
Toka enzi na enzi utaratibu ndio umekua huu.
Misiba mingi inajaza watu kwa sababu ya chakula kilichopikwa. Usiombe mtaani kuwe na misiba miwili msiba wa tajiri na msiba wa masikini.
Msiba wa masikini utapata watu kwenye mazishi baadae watarudi kwa tajiri kwa matanga na chakula. Idadi ya ng'ombe watakaochinjwa ndio itaamua siku za matanga.
Hi ndio Tanzania yetu.
Misiba mingi inajaza watu kwa sababu ya chakula kilichopikwa. Usiombe mtaani kuwe na misiba miwili msiba wa tajiri na msiba wa masikini.
Msiba wa masikini utapata watu kwenye mazishi baadae watarudi kwa tajiri kwa matanga na chakula. Idadi ya ng'ombe watakaochinjwa ndio itaamua siku za matanga.
Hi ndio Tanzania yetu.