BAK
JF-Expert Member
- Feb 11, 2007
- 124,790
- 288,165
MSIBA MINNEAPOLIS- RIP SHEDRACK BALIRA
Ndugu, Jamaa na Marafiki,
Tunasikitika kutangaza kuwa Watanzania wenzetu Meshack Balira amefiwa na mdogo wake Shedrack Balira aliyefariki Minneapolis asubuhi ya March 21, 2011.
Marehemu alikuwa anasumbuliwa na ugonjwa wa Asthma lakini haijulikani kama ugonjwa huu ndiyo uliosababisha kifo cha marehemu. Marehemu alikuwa na na umri wa miaka 47.
Mwili wa marehemu utasafirishwa kuelekea kwao Misenye, Bukoba Jumatatu (March 28, 2011) kwa mazishi
Shukrani kwa wale wote waliofanikisha kwa namna moja au nyingine kuchangia katika gharama za kufanikisha kuusafirisha mwili wa marehemu na wanaoendelea kufanya hivyo.
Kwa maelezo zaidi wasiliana na hawa wafuatao:
Patrick Vedasto - 763-458-0353
Josiah Kibira - 763-229-2495
Joel Mburu - 952-217-0264
Charles Semakula - 952-465-1130
Mwenyezi Mungu ailaze roho ya marehemu mahali pema peponi~AMEN na awape nguvu na faraja wafiwa katika kipindi hiki kigumu kwao.
Upumzike kwa amani Shedrack.