Msiba Mkubwa members wa Calabash Pub

Teh teh teh heeeee hapo kwenye nyekundu loo paminivunja mbavu
Wadau naweza kupata List maana kuna demu mmoja kitaa hapa, Magomeni alikuwa anavusha nae siku anaitwa Jemima, majina mengine tafadhali.
 
Hivi huyu Mazembe Nyerere ndo yule aliyesoma CBE?white au majina yanafanana tu?naomba kujuzwa kidogo.

RIP
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…