Mkuu!
Kwangu mimi hizi ni habari mbaya kupita kiasi, maana nimezika wazee wangu wote, na najua unachokifeel muda huu!
Pole sana mKUBWA WETU, Na Mungu Pekee ndiye atakayekufariji kiukweli na kukusahaulisha jambo hili mapema!
Mama yetu kipenzi ukapumzike mahala pa salama!
Arusha tupo marafiki wengi na tunashirikiana, kuna mtu kakuuliza msiba wapi?(post No 6)
Kama uko radhi then u can jst tell us msiba wapi tupite kukufariji!
Nadhani unahitaji faraja muda huu kuliko muda mwingine wowote chini ya jua!
La vinginevyo, shughuli yenu itanguliwe na Mwenyezi Mungu!