Msiba mkubwa

Msiba mkubwa

Nimefiwa na Mama Yangu Mzazi Hospitali ya Selian Mjini Arusha.
Alikuwa na tatizo ya maji kwenye mapafu. Nashauri tuwe tunapima afya zetu kwani tatizo kama hili likijulikana mapema linatibika. Kama bado una wazazi wanakutegemea wasaidie kuwacheki afya zao kwani unaweza sogeza umri wao mbele

Sisi lilijulikana late so it was too late.

Asanteni sana.

BLUE BALAA, pole sana! Mungu aiweke mahali pema roha yake. Amina!
 
Nimefiwa na Mama Yangu Mzazi Hospitali ya Selian Mjini Arusha.
Alikuwa na tatizo ya maji kwenye mapafu. Nashauri tuwe tunapima afya zetu kwani tatizo kama hili likijulikana mapema linatibika. Kama bado una wazazi wanakutegemea wasaidie kuwacheki afya zao kwani unaweza sogeza umri wao mbele

Sisi lilijulikana late so it was too late.


Asanteni sana.

Pole sana Mwenyezi Mungu akujalie moyo wa subira. May her soul RIP.
 
Dah pole xna bro,mungu akuzndshie ngvu ktka kipndi hki kigum.
 
MUNGU mwenye uwezo wa yote akujaze rehema zake za pekee ktk wakati huu mgumu kibinadamu BLUE BALAA!
MAMA YETU APUMZIKE KWA AMANI YA BWANA NA MWANGA WA MILELE AMWANGAZIE!

NB:
BLUE BALAA! Msiba utakuwa wapi Kamanda?
Tujuze usijali kwn Member wa A town tunapendana pale kwenye Raha & Shida,naomba utujuze mahala ulipo na bila ya kujali mazingira iwe ya umbali we usijali kwani makamanda tutatua tu!
 
Pole sana Mkuu na asante kwa ushauri. Si wazazi tu kupima afya ila hata watoto nao si mbaya mara moja moja kwa miaka kama 2-4.
 
Pole sana!Mungu akutie nguvu kipindi hiki kigumu!
 
Pole sana ndugu. Mungu awajalie neema na amani yake wakati huu mgumu. Dah!
 
Mungu ampe pumziko la milele huko aendako...Amen!!
 
Pole mkuu, Mungu akutie nguvu katika kipindi hiki kigumu cha msiba wa kuondokewa na mama yako mzazi...........
 
Pole sana ndugu, kwa msiba mzito, Mungu akupe nguvu zaidi ya kuendelea.
 
Pole sana mkuu Mungu akutie nguvu hasa katika wakati huu mgumu...
 
Back
Top Bottom