Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
- Kutokana na uchache wa muda, isingewezekana kwa hapa JF kuweza kutafutana kwa hiyo mimi na member wengine wawili jana tulijitolea kwa kuchangishana kwa haraka na kuwahi kumpatia mkono wa rambi rambi mheshimiwa mbunge Mwakyembe kwa niaba ya wengine wote hapa JF walioguswa na msiba huu wa mama yake, ingawa ni mdogo lakini ulikuwa ndio uwezo wetu.
- Mazishi yanafanyika leo mchana huko Kyela, na kwa mara nyingine ninamtakia DK., mazishi mema na yenye baraka za Munyazi Mungu, na aweze kumpa nguvu za ajabu za ku-recover ili aweze kurudi haraka kwenye uwanja wa mapambano ambako tayari kuna habari za siri za kina Membe na wengine kujiunga tena na kundi la mafisadi.
Mungu Ambariki DK. na Aibariki Tanzania.
Respect - FMES!