Baba_Enock
JF-Expert Member
- Aug 21, 2008
- 7,076
- 2,457
Habari nilizozipata sasa hivi ni kuwa mmoja wa member wa JF amefiwa na Baba yake leo asubuhi.
Tumwombee apate kufarijika katika kipindi hiki kigumu.
R.I.P Baba Pearl...
Tumwombee apate kufarijika katika kipindi hiki kigumu.
R.I.P Baba Pearl...