Elia
JF-Expert Member
- Dec 30, 2009
- 3,425
- 568
Habari nilizozipata sasa hivi ni kuwa mmoja wa member wa JF amefiwa na Baba yake leo asubuhi.
Tumwombee apate kufarijika katika kipindi hiki kigumu.
R.I.P Baba Pearl...
Asante kwa taarifa, Mpepole sana!