Msiba: Tasnia ya Filamu Tanzania imepata msiba (Kundambanda)

Msiba: Tasnia ya Filamu Tanzania imepata msiba (Kundambanda)

STUNTER

JF-Expert Member
Joined
Dec 15, 2015
Posts
13,076
Reaction score
17,247
Alijipatia umaarufu mkubwa kwenye vichekesho vya kundi la VITUKO SHOW, alizoeleka kuigiza lafudhi ya kimakonde....
R.I.P Mchekeshaji Kundambanda..
-
ripoti zilianza kusambaa kwenye mitandao ya kijamii kwa baadhi ya mastaa wa vichekesho nchini zikionyesha taarifa ya kufariki kwa mmoja kati ya wachekeshaji maarufu nchini Tanzania, Ismail Issa Makombe ‘Baba Kundambanda’ kutoka kwenye maigizo ya Vituko Show. Taarifa za awali zinadai kuwa amefariki akiwa nyumbani kwao Masasi, Mtwara,
 
Aligombea Ubunge Masasi kabla ya uchaguzi kufutwa baada ya kifo cha Emmanuel Makaidi
 
Picha tafadhali
Umepata sema lingine.

1469178559473.jpg
 
ripoti zilianza kusambaa kwenye mitandao ya kijamii kwa baadhi ya mastaa wa vichekesho nchini zikionyesha taarifa ya kufariki kwa mmoja kati ya wachekeshaji maarufu nchini Tanzania, Ismail Issa Makombe ‘Baba Kundambanda’ kutoka kwenye maigizo ya Vituko Show. Taarifa za awali zinadai kuwa amefariki akiwa nyumbani kwao Masasi, Mtwara,
 
nimeumia sana ni miongoni mwa wachekeshaji niliokuwa nawapenda na yule mwingine aliyefariki Kinyambe. Hawa jamaa walikuwa wanaweza. Inna lillah wainallilah rajuun
 
Inalilah wainailahi rajiuun..Mwenyezi Mungu amstiri kwa baraka zake.
 
Duuuuh Kamanda wa UKAWA katangulia mbele??? Ulale kwa Amani brother. Kazi zako zitadumu daima.
 
Back
Top Bottom