Nokla
JF-Expert Member
- Aug 12, 2012
- 3,190
- 1,774
Mwalimu Bernadeta Minja wa kitivo cha Sayansi ya Jamii, Idara ya Uchumi na Biashara UDOM, amefariki dunia jana kwa ajali ya gari akiwa safarini yeye pamoja na mfanyakazi wake wa ndani wakielekea Dodoma!
Alikuwa mwalimu wangu nakumbuka alinifundisha Masomo ya Uchumi nikiwa mwaka wa kwanza mwaka 2008.
R.I.P Madame Minja!
Alikuwa mwalimu wangu nakumbuka alinifundisha Masomo ya Uchumi nikiwa mwaka wa kwanza mwaka 2008.
R.I.P Madame Minja!