Ushimen
JF-Expert Member
- Oct 24, 2012
- 40,828
- 99,523
Samahani mkuu...Sikutarajia comment kama hii kutoka kwa mtu ninae muheshimu kaka wewe
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Samahani mkuu...Sikutarajia comment kama hii kutoka kwa mtu ninae muheshimu kaka wewe
Kikubwa gobole la urithi bado ninalo, wakae kwa makini 😂 🤣Nisaidie kijanawangu, nisije nikapigwa hapa..😔
Huna akili ...kwanini usichajie simu nyumbani/ofisini kwako?
Nyie hua mna akili au matope ..utaachaje kuishiwa chaji na cm ? Kuanzia ununue Yako mpk Leo Ina 100%auKuishiwa simu chaji ni uzembe masimu yenyewe yana battery mpaka mAh 5000....mtu makini huwezi kushiwa chaji
IImetokea Jana Kinondoni.
Picha linaanza wiki moja iliyo pita jamaa alienda kuweka simu zake mbili ( Smart phones) kwenye kibanda cha mchajisha simu, kisha akaenda zake pale Garden ( Mkwajuni) kutazama ndondo.
Simu alizipeleka saa Tisa, anacheki mechi ya ndondo inaisha anapita Masjid kisha anaenda kuzichukua simu zake mida ya saa moja anakuta jamaa kafunga kibanda akajua labda jamaa bado yupo Masjid akasikilizia kama dakika 20 hakuna dalili, anauliza jirani anamwambia jamaa kapigiwa simu Dada ake kafariki so kaenda Muhimbili.
Akauliza vipi hajaacha maagizo yoyote kuhusu simu za wateja akajibiwa hajaacha.
Duh jamaa akachanganyikiwa kwa sababu simu yake ndio kila kitu, akaomba namba zake za simu kupiga jamaa hapokei anakuja kupokea baadae anajibiwa " Dada angu amefariki tunapeleka mwili Chalinze"
Anauliza kuhusu simu zake jamaa anakata simu. Anauliza majirani hanaga mfanyakazi labda kamuachia funguo anajibiwa hakuna labda wampe namba za mkewe.
Anapiga namba za mke mtu na yeye anasema hajapewa maagizo yoyote wala funguo.
Jamaa akarudi zake home. Kila siku akawa anapita anaambiwa jamaa hayupo.
Ikapita wiki moja Jana jamaa ndio kafungua. Unaambiwa mwenye simu zake alivyo fika wala hakuuliza. Ni vichwa ngumi mateke Pepsi na vifuti kama vyote.
Kwanini usinge acha funguo na maelekezo hata kwa jirani yako au mkeo.Unakaa na simu zangu wiki nzima unategemea watoto wangu watakula nini?.
Kesi iko polisi now
.... ........
Siku hizi watu wamevurugwa hawaangalii cha misiba. Kuweni makini Sana na mali za watu.
Mazishi wengine ni baada ya wikiBaada ya mazishi, mchajisha cm ilibidi afanye kumpatia mteja cm zake haraka iwezekanavyo
🤣🤣🤣🤣🤣Yaani me ningemvunja meno huyo mwenye kibanda Cha kuchajia ..
I
, 🤣🤣🤣Mm ningempa vitofa pia
Kichwa chako kama sanduku la agano la Musa😂Unaweza kuta mleta hii taarifa ni mwanaume...😶
Daslam bana....🙄
We unajua watu wakinondoni wanavyo ishi?
Ule wimbo ya Lady JaydeeWe unajua watu wakinondoni wanavyo ishi?