Msiba wa dada yake mzazi wamponza mchajisha simu Kinondoni ala kisago cha mbwa mwizi.

Sasa ulivyo mpiga ndio mishe zako zimekaa sawa?.
Ngoja ukanyoe ndio akilizitakukaa sawa!.

Ulitakiwa umfungulie mashtaka nauieleze mahakama kwa ushahidi jinsi huyo mchajishasimu alivyo kusababishia hasara katika mipangoyako iliakulipe fidia nasio kumpiga.

Sent from my Infinix X6511B using JamiiForums mobile app
 
Yaani me ningemvunja meno huyo mwenye kibanda Cha kuchajia ..
I
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…