Msiba wa King Majuto: Aibu yako Kikwete, aibu yetu Watanzania...

Msiba wa King Majuto: Aibu yako Kikwete, aibu yetu Watanzania...

mods sijui kwa nini hawajaitoa hii topic kwa afya ya mtoa post na wachangiaji na King Majuto mwenyewe
 
Watanzania mna hasira! Hahaha..

Okay nawatoa kwenye lawama, nabakisha ya JK na BASATA..

Kama mngenisoma vizuri, mngeelewa mantiki yangu.

Kikwete hata asingempa trekta, kwa nafasi yake bado alikuwa anao uwezo wa kuagiza mamlaka za chini yake ziangalie namna ya kumnufaisha au kuwanufaisha wasanii na kazi zao..

Hii mikataba mnaitaja taja tu lakini wasanii wanapigwa kinoma na hawana ubavu wa kujitetea. Mamlaka zina nguvu ya kuhakikisha hawaonewi!

Hili ni dongo kwa mamlaka. Msome katika urari huo!
Unazidi kujidhalilisha.... leave JK alone please.
 
Kwa wanaojua kuwatag mods wafanye hivyo huu uzi uondolewe maana unavyoendelea watu wataanza kumsengenya marehemu.
 
Taifa lipo msibani!

Ni msiba wa kitaifa kuondokewa na mfalme wa sanaa nchini, King Majuto. Hakuna haja ya maelezo mengi maana historia yake inajitetea!

Nimetazama nyakati za mwisho wakati anapambania uhai wake Tanzania na India. Pongezi kwa waliofanya jitihada za kumuwezesha kumudu gharama za matibabu ikiwemo Serikali na wadau wengine.

Kifo cha mzee wetu kimetuacha na aibu. Aibu zaidi kwa Rais Mstaafu wa JMT, Jakaya M. Kikwete.

Ni mara nyingi kabla ya maradhi yake Mzee Majuto amekuwa akiomba kwa unyenyekevu apatiwe msaada wa Trekta ili aweze kufanya kilimo cha nguvu.. Aliamini kilimo kitamfaa katika nyakati zake za mwisho kwa maana sanaa haikumfaa vya kutosha.

Si mara moja au mbili alituma direct ombi lake kwa Rais aliye madarakani wakati huo JK aangalie uwezekano wa kumsaidia lakini mpaka anafikwa na mauti hilo halikuwezekana.

Kama Rais wa nchi na wasaidizi wake wameshindwa kusaidia hilo, wanajisikiaje leo wanapoenda kumuaga?

Nakumbuka alisema amesikia na atalifanyia kazi. Nilitarajia BASATA wangeangalia namna ya kutumia sanaa yake kumfanikishia lengo lake.

Hayo yangetokea, pengine mzee angeweza kumudu gharama za matibabu na kupunguza risk ya kufariki mapema. Pengine angekuwa na furaha akastaafu zake sanaa akala mema.. Pengine mambo yangekuwa tofauti.. Pengine, pengine..

Watanzania tuone aibu kwa hili na liwe funzo kwa yajayo.

Rest in Peace King Majuto.
Upupu uliokithiri huu na ni ufitini uliopitiliza. Lengo la uzi wako huu ni nini hasa?
 
Yule mzee amefanya kazi ya maigizo kwa muda wote.

Kaingia mikataba.

Kafanya matangazo.

Kalamba deals na Al Riyami.

Kaonyeshwa Channel 10.

VHS na DVDs zimeuzwa.

Steps walikua naye.

Ana muvi alizoitwa kama mshiriki.

Unamlaumu Kikwete kwa kutotoa trekta?
Unatulaumu waTanzania?

Kuna waTz wangapi hawana jukwaa la kumlalamikia raisi?
Unaona Majuto anastahili kuliko watu wote?
Umeziangalia fursa alizowahi kua nazo?
Mtoa mada nadhani anahitaji msaada wa kimatibabu
 
Taifa lipo msibani!

Ni msiba wa kitaifa kuondokewa na mfalme wa sanaa nchini, King Majuto. Hakuna haja ya maelezo mengi maana historia yake inajitetea!

Nimetazama nyakati za mwisho wakati anapambania uhai wake Tanzania na India. Pongezi kwa waliofanya jitihada za kumuwezesha kumudu gharama za matibabu ikiwemo Serikali na wadau wengine.

Kifo cha mzee wetu kimetuacha na aibu. Aibu zaidi kwa Rais Mstaafu wa JMT, Jakaya M. Kikwete.

Ni mara nyingi kabla ya maradhi yake Mzee Majuto amekuwa akiomba kwa unyenyekevu apatiwe msaada wa Trekta ili aweze kufanya kilimo cha nguvu.. Aliamini kilimo kitamfaa katika nyakati zake za mwisho kwa maana sanaa haikumfaa vya kutosha.

Si mara moja au mbili alituma direct ombi lake kwa Rais aliye madarakani wakati huo JK aangalie uwezekano wa kumsaidia lakini mpaka anafikwa na mauti hilo halikuwezekana.

Kama Rais wa nchi na wasaidizi wake wameshindwa kusaidia hilo, wanajisikiaje leo wanapoenda kumuaga?

Nakumbuka alisema amesikia na atalifanyia kazi. Nilitarajia BASATA wangeangalia namna ya kutumia sanaa yake kumfanikishia lengo lake.

Hayo yangetokea, pengine mzee angeweza kumudu gharama za matibabu na kupunguza risk ya kufariki mapema. Pengine angekuwa na furaha akastaafu zake sanaa akala mema.. Pengine mambo yangekuwa tofauti.. Pengine, pengine..

Watanzania tuone aibu kwa hili na liwe funzo kwa yajayo.

Rest in Peace King Majuto.
Kikwete hakukosea. Angeanzia na kuishia wapi kugawa matrekta?
Kwa wasanii?
Wanajeshi wastaafu?
No rahisi kusema lakini ngumu kutekeleza.
 
Aibu ya watanzania kivipi? Asingepatiwa matibabu ndio ungesema aibu yetu, matibabu kapata ahadi yake imefika kataangulia na sisi tunasubiri zetu zikifika tunaondoka hayo ya tractor hata wewe ungeweza mnunulia mbona hukufanya hivyo? Yaani Kuna wengine daima Ni kulalamika tu
Huyu hata akiwa na demu wk akishindwa kukojoa atailaumu serikali ama CCM!
 
Aibu ya watanzania kivipi? Asingepatiwa matibabu ndio ungesema aibu yetu, matibabu kapata ahadi yake imefika kataangulia na sisi tunasubiri zetu zikifika tunaondoka hayo ya tractor hata wewe ungeweza mnunulia mbona hukufanya hivyo? Yaani Kuna wengine daima Ni kulalamika tu
Huyu hata akiwa na demu wk akishindwa kukojoa atailaumu serikali ama CCM!
 
Ungeanzisha thread hii kipindi mzee yupo hai, uzalendo wako ungeonekana but now you're too late mkuu, ila R.I.P KING
 
Taifa lipo msibani!

Ni msiba wa kitaifa kuondokewa na mfalme wa sanaa nchini, King Majuto. Hakuna haja ya maelezo mengi maana historia yake inajitetea!

Nimetazama nyakati za mwisho wakati anapambania uhai wake Tanzania na India. Pongezi kwa waliofanya jitihada za kumuwezesha kumudu gharama za matibabu ikiwemo Serikali na wadau wengine.

Kifo cha mzee wetu kimetuacha na aibu. Aibu zaidi kwa Rais Mstaafu wa JMT, Jakaya M. Kikwete.

Ni mara nyingi kabla ya maradhi yake Mzee Majuto amekuwa akiomba kwa unyenyekevu apatiwe msaada wa Trekta ili aweze kufanya kilimo cha nguvu.. Aliamini kilimo kitamfaa katika nyakati zake za mwisho kwa maana sanaa haikumfaa vya kutosha.

Si mara moja au mbili alituma direct ombi lake kwa Rais aliye madarakani wakati huo JK aangalie uwezekano wa kumsaidia lakini mpaka anafikwa na mauti hilo halikuwezekana.

Kama Rais wa nchi na wasaidizi wake wameshindwa kusaidia hilo, wanajisikiaje leo wanapoenda kumuaga?

Nakumbuka alisema amesikia na atalifanyia kazi. Nilitarajia BASATA wangeangalia namna ya kutumia sanaa yake kumfanikishia lengo lake.

Hayo yangetokea, pengine mzee angeweza kumudu gharama za matibabu na kupunguza risk ya kufariki mapema. Pengine angekuwa na furaha akastaafu zake sanaa akala mema.. Pengine mambo yangekuwa tofauti.. Pengine, pengine..

Watanzania tuone aibu kwa hili na liwe funzo kwa yajayo.

Rest in Peace King Majuto.
Sina nia ya kuonesha sijali msiba.

Rest in Protons King Majuto.

King Majuto apewe upendeleo kwa minajili gani?

Kila mtu akianza kuomba msaada anaoutaka kwa serikali kwa sababu hajajipanga vizuri maishani mwake, nani atamsaidia nani?

Kila mtu ana matatizo.

Hili liwe fundisho kwa vijana wanaotanua sana leo.

Kuna leo na kesho.

Jiwekee akiba ya uzeeni, usije kuadhirika.

Kuombaomba kwa mambo ya msingi mtu unayotakiwa kujikimu ni aibu.

Tumerahisisha na kufanya kuombaomba si tu si jambo la aibu, bali pia tunaanza kuhalalisha kwamba kuombaomba ni haki ya watu.

Hii sio tu si haki, ni jambo la aibu.
 
King Majuto hakuwa mtu wa kupewa tractor bali yeye ndiye alipaswa kumpa mtu tractor!

Rest in peace King Majuto!
 
Acheni ujinga watz kwani Kikwete ana hela za kugawa hovyo.......
maana ombi la trekta maana yake ilibidi atoe kwenye mfuko wake.
sio hela ya serekali
 
Yule mzee amefanya kazi ya maigizo kwa muda wote.

Kaingia mikataba.

Kafanya matangazo.

Kalamba deals na Al Riyami.

Kaonyeshwa Channel 10.

VHS na DVDs zimeuzwa.

Steps walikua naye.

Ana muvi alizoitwa kama mshiriki.

Unamlaumu Kikwete kwa kutotoa trekta?
Unatulaumu waTanzania?

Kuna waTz wangapi hawana jukwaa la kumlalamikia raisi?
Unaona Majuto anastahili kuliko watu wote?
Umeziangalia fursa alizowahi kua nazo?
Nilitaka kujibu hivyo
 
Back
Top Bottom