Msiba wa King Majuto: Aibu yako Kikwete, aibu yetu Watanzania...

Msiba wa King Majuto: Aibu yako Kikwete, aibu yetu Watanzania...

Watanzania mna hasira! Hahaha..
Okay nawatoa kwenye lawama, nabakisha ya JK na BASATA..
Kama mngenisoma vizuri, mngeelewa mantiki yangu.
Kikwete hata asingempa trekta, kwa nafasi yake bado alikuwa anao uwezo wa kuagiza e katika urari huo!
bado wewe ni MUONGO
bora unyamaze tu
Magufuli amempokea mtoto wake na kumpa Ukatibu Tawala
fuatila Taarifa za habari za tv (ITV)
NAOMBA LAWAMA KWA VIONGOZI UZIACHE, NI nCHI GANI UNAWEZA KUCHAGUA MTOTO KWA AJILI TU YA BABA YAKE NA UMAARUFU WAKE?
kwani wewe au mimi tusichukue nafasi hizo kwa ajili ya Elimu zetu
 
Sijaona nafasi ya trekta ktk kuokoa Maisha yake, alienda India kutibiwa na kurudi. Siku zilikuwa zimefika, huenda hata angepewa hilo trekta angelikufa AKIWA ANALIENDESHA.
 
Kifo ni mpango wa Mungu, hata angepewa Dege la Dreamer limlimie bado angerudisha uhai kwa aliyempa. R. I. P
 
Acha uzwazwa yani unalaumu Taifa na Rais kwa ajili ya mtu mmoja aliekua na nguvu zake na uwezo wa kujiletea chakula mezani. Mwacheni apumzike mnazidi kumtibua tuu huku aliko
 
Taifa lipo msibani!

Ni msiba wa kitaifa kuondokewa na mfalme wa sanaa nchini, King Majuto. Hakuna haja ya maelezo mengi maana historia yake inajitetea!

Nimetazama nyakati za mwisho wakati anapambania uhai wake Tanzania na India. Pongezi kwa waliofanya jitihada za kumuwezesha kumudu gharama za matibabu ikiwemo Serikali na wadau wengine.

Kifo cha mzee wetu kimetuacha na aibu. Aibu zaidi kwa Rais Mstaafu wa JMT, Jakaya M. Kikwete.

Ni mara nyingi kabla ya maradhi yake Mzee Majuto amekuwa akiomba kwa unyenyekevu apatiwe msaada wa Trekta ili aweze kufanya kilimo cha nguvu.. Aliamini kilimo kitamfaa katika nyakati zake za mwisho kwa maana sanaa haikumfaa vya kutosha.

Si mara moja au mbili alituma direct ombi lake kwa Rais aliye madarakani wakati huo JK aangalie uwezekano wa kumsaidia lakini mpaka anafikwa na mauti hilo halikuwezekana.

Kama Rais wa nchi na wasaidizi wake wameshindwa kusaidia hilo, wanajisikiaje leo wanapoenda kumuaga?

Nakumbuka alisema amesikia na atalifanyia kazi. Nilitarajia BASATA wangeangalia namna ya kutumia sanaa yake kumfanikishia lengo lake.

Hayo yangetokea, pengine mzee angeweza kumudu gharama za matibabu na kupunguza risk ya kufariki mapema. Pengine angekuwa na furaha akastaafu zake sanaa akala mema.. Pengine mambo yangekuwa tofauti.. Pengine, pengine..

Watanzania tuone aibu kwa hili na liwe funzo kwa yajayo.

Rest in Peace King Majuto.
Unajambajamba tu.

FB_IMG_1533834967487.jpg
 
Taifa lipo msibani!

Ni msiba wa kitaifa kuondokewa na mfalme wa sanaa nchini, King Majuto. Hakuna haja ya maelezo mengi maana historia yake inajitetea!

Nimetazama nyakati za mwisho wakati anapambania uhai wake Tanzania na India. Pongezi kwa waliofanya jitihada za kumuwezesha kumudu gharama za matibabu ikiwemo Serikali na wadau wengine.

Kifo cha mzee wetu kimetuacha na aibu. Aibu zaidi kwa Rais Mstaafu wa JMT, Jakaya M. Kikwete.

Ni mara nyingi kabla ya maradhi yake Mzee Majuto amekuwa akiomba kwa unyenyekevu apatiwe msaada wa Trekta ili aweze kufanya kilimo cha nguvu.. Aliamini kilimo kitamfaa katika nyakati zake za mwisho kwa maana sanaa haikumfaa vya kutosha.

Si mara moja au mbili alituma direct ombi lake kwa Rais aliye madarakani wakati huo JK aangalie uwezekano wa kumsaidia lakini mpaka anafikwa na mauti hilo halikuwezekana.

Kama Rais wa nchi na wasaidizi wake wameshindwa kusaidia hilo, wanajisikiaje leo wanapoenda kumuaga?

Nakumbuka alisema amesikia na atalifanyia kazi. Nilitarajia BASATA wangeangalia namna ya kutumia sanaa yake kumfanikishia lengo lake.

Hayo yangetokea, pengine mzee angeweza kumudu gharama za matibabu na kupunguza risk ya kufariki mapema. Pengine angekuwa na furaha akastaafu zake sanaa akala mema.. Pengine mambo yangekuwa tofauti.. Pengine, pengine..

Watanzania tuone aibu kwa hili na liwe funzo kwa yajayo.

Rest in Peace King Majuto.
Yoooteee hayo angekufa tuuu
 
Taifa lipo msibani!

Ni msiba wa kitaifa kuondokewa na mfalme wa sanaa nchini, King Majuto. Hakuna haja ya maelezo mengi maana historia yake inajitetea!

Nimetazama nyakati za mwisho wakati anapambania uhai wake Tanzania na India. Pongezi kwa waliofanya jitihada za kumuwezesha kumudu gharama za matibabu ikiwemo Serikali na wadau wengine.

Kifo cha mzee wetu kimetuacha na aibu. Aibu zaidi kwa Rais Mstaafu wa JMT, Jakaya M. Kikwete.

Ni mara nyingi kabla ya maradhi yake Mzee Majuto amekuwa akiomba kwa unyenyekevu apatiwe msaada wa Trekta ili aweze kufanya kilimo cha nguvu.. Aliamini kilimo kitamfaa katika nyakati zake za mwisho kwa maana sanaa haikumfaa vya kutosha.

Si mara moja au mbili alituma direct ombi lake kwa Rais aliye madarakani wakati huo JK aangalie uwezekano wa kumsaidia lakini mpaka anafikwa na mauti hilo halikuwezekana.

Kama Rais wa nchi na wasaidizi wake wameshindwa kusaidia hilo, wanajisikiaje leo wanapoenda kumuaga?

Nakumbuka alisema amesikia na atalifanyia kazi. Nilitarajia BASATA wangeangalia namna ya kutumia sanaa yake kumfanikishia lengo lake.

Hayo yangetokea, pengine mzee angeweza kumudu gharama za matibabu na kupunguza risk ya kufariki mapema. Pengine angekuwa na furaha akastaafu zake sanaa akala mema.. Pengine mambo yangekuwa tofauti.. Pengine, pengine..

Watanzania tuone aibu kwa hili na liwe funzo kwa yajayo.

Rest in Peace King Majuto.
Kila mtu akimuomba Rais amsaidie kiasi kadhaa au kitu fulani itakuaje?
 
kifo kikifika hata angepewa buldoza angekufa tu..maguful (Raisi wa wanyonge) kajitahidi kuwasaidia familia yao kampa ukatibu tawala mtoto wake
 
Taifa lipo msibani!

Ni msiba wa kitaifa kuondokewa na mfalme wa sanaa nchini, King Majuto. Hakuna haja ya maelezo mengi maana historia yake inajitetea!

Nimetazama nyakati za mwisho wakati anapambania uhai wake Tanzania na India. Pongezi kwa waliofanya jitihada za kumuwezesha kumudu gharama za matibabu ikiwemo Serikali na wadau wengine.

Kifo cha mzee wetu kimetuacha na aibu. Aibu zaidi kwa Rais Mstaafu wa JMT, Jakaya M. Kikwete.

Ni mara nyingi kabla ya maradhi yake Mzee Majuto amekuwa akiomba kwa unyenyekevu apatiwe msaada wa Trekta ili aweze kufanya kilimo cha nguvu.. Aliamini kilimo kitamfaa katika nyakati zake za mwisho kwa maana sanaa haikumfaa vya kutosha.

Si mara moja au mbili alituma direct ombi lake kwa Rais aliye madarakani wakati huo JK aangalie uwezekano wa kumsaidia lakini mpaka anafikwa na mauti hilo halikuwezekana.

Kama Rais wa nchi na wasaidizi wake wameshindwa kusaidia hilo, wanajisikiaje leo wanapoenda kumuaga?

Nakumbuka alisema amesikia na atalifanyia kazi. Nilitarajia BASATA wangeangalia namna ya kutumia sanaa yake kumfanikishia lengo lake.

Hayo yangetokea, pengine mzee angeweza kumudu gharama za matibabu na kupunguza risk ya kufariki mapema. Pengine angekuwa na furaha akastaafu zake sanaa akala mema.. Pengine mambo yangekuwa tofauti.. Pengine, pengine..

Watanzania tuone aibu kwa hili na liwe funzo kwa yajayo.

Rest in Peace King Majuto.
Ukiomba kuna kupewa na kutopewa, siyo jukumu la serikali kumpa mtu mmoja mmoja vitu kama trekta.
Watanzania tumekuwa na haka katabia ka kuwaaminisha mastar kuwa wana haki ya kupewa na kuchangiwa.
Acha apumzike Mzee wetu lakini siyo muanze kulaumu watu atleast hata yeye walau alikumbukwa Mzee Small aliumwa sana ni Marehemu KIanumba tu aliyekuwa anamtembelea..
 
Watanzania kwa lawama hamjambo. Mwacheni mzee wa watu apumzike kwa amani
Kuna watu hutafuta Kiki kwa pikipiki hivi kila mtanzania mwenye shida apeleke maombi kwa Jk anaweza kukizi haja na matakwa ya kila mmoja wetu? lawama zingine ni chuki binafsi
 
Yule mzee amefanya kazi ya maigizo kwa muda wote.

Kaingia mikataba.

Kafanya matangazo.

Kalamba deals na Al Riyami.

Kaonyeshwa Channel 10.

VHS na DVDs zimeuzwa.

Steps walikua naye.

Ana muvi alizoitwa kama mshiriki.

Unamlaumu Kikwete kwa kutotoa trekta?
Unatulaumu waTanzania?

Kuna waTz wangapi hawana jukwaa la kumlalamikia raisi?
Unaona Majuto anastahili kuliko watu wote?
Umeziangalia fursa alizowahi kua nazo?
Naamini akisama hii akili itamjenga
 
Watu wengi wapo vijijini wanahitaji hayo matrekta, sio wewe umekaa town unasubiria upewe trekta ndio uende shamba, huo si uzushi.
Swadakta umenena eee na hata huko kuomba ilikua ni ktk sanaa tu alikua anaigiza tu wala hakuwa anaomba kweri
 
mimi nilishangaa Msemaji wa Muhimbili ametoa taarifa rasmi ya kifo cha Majuto.

tangu lini Muhimimbi inatoa matamko ya kifo cha mgonjwa?

watu wanaenda vyuo vikuu wanasomea public relations lakini hawajui kazi zao, wametoka kapa shuleni

huku mtaani tumezidiana, kuna wengine maarufu, wengine matajiri, wengine masikini, wengine wasanii, wengine wabeba zege, wengine ma engineer

lakini watu wote ni sawa mbele ya serikali, ukitoa taarifa ya kifo cha Majuto basi uwe unatoa taarifa ya kifo cha kila Bakari na Neema wanaofia Muhimbili!

msanii na usanii sio profession muhimu kuliko zingine zote duniani!

serikali ya nchi yake haikutoa tamko siku Michael Jackson amefariki!
 
Mbona wew mwenyew hukuwah kukumbusha humu kwamba mzee majuto aliwah kuomba trekta na hajapewa , umesubiri amekufa ndo unasema...aibu kwako pia
 
Taifa lipo msibani!

Ni msiba wa kitaifa kuondokewa na mfalme wa sanaa nchini, King Majuto. Hakuna haja ya maelezo mengi maana historia yake inajitetea!

Nimetazama nyakati za mwisho wakati anapambania uhai wake Tanzania na India. Pongezi kwa waliofanya jitihada za kumuwezesha kumudu gharama za matibabu ikiwemo Serikali na wadau wengine.

Kifo cha mzee wetu kimetuacha na aibu. Aibu zaidi kwa Rais Mstaafu wa JMT, Jakaya M. Kikwete.

Ni mara nyingi kabla ya maradhi yake Mzee Majuto amekuwa akiomba kwa unyenyekevu apatiwe msaada wa Trekta ili aweze kufanya kilimo cha nguvu.. Aliamini kilimo kitamfaa katika nyakati zake za mwisho kwa maana sanaa haikumfaa vya kutosha.

Si mara moja au mbili alituma direct ombi lake kwa Rais aliye madarakani wakati huo JK aangalie uwezekano wa kumsaidia lakini mpaka anafikwa na mauti hilo halikuwezekana.

Kama Rais wa nchi na wasaidizi wake wameshindwa kusaidia hilo, wanajisikiaje leo wanapoenda kumuaga?

Nakumbuka alisema amesikia na atalifanyia kazi. Nilitarajia BASATA wangeangalia namna ya kutumia sanaa yake kumfanikishia lengo lake.

Hayo yangetokea, pengine mzee angeweza kumudu gharama za matibabu na kupunguza risk ya kufariki mapema. Pengine angekuwa na furaha akastaafu zake sanaa akala mema.. Pengine mambo yangekuwa tofauti.. Pengine, pengine..

Watanzania tuone aibu kwa hili na liwe funzo kwa yajayo.

Rest in Peace King Majuto.
Aaaaaa ucha kujipotosha,hakunaga kuondoa risk ya kifo kwa kuwa na uwezo wa kujitibia
 
Back
Top Bottom