Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
- Thread starter
-
- #21
Huijui kyela wewe , muulize Mwakyembeπππ Ndio nimeelewa vizuri .labda kama ulitaka nielewe kwa namna ambayo unataka watu wote humu jukwaani tuelewe kutoka katika mtizamo wako.
Nionyeshe lilipo kanisa la Mwamakula na wafuasi wake ili nijione mjingaUongo utakusaidia nini wewe ?
Malezi ya chama Cha ccm na imewajengea hulka hiyo wanachama waoUongo utakusaidia nini wewe ?
Sasa wanawapotosha wachungaji wa watu na kujifanya wana harakati alafu wakishawekwa ndani, wanakaa mbali nao. Walimpamba Mbarikiwa kuwa shujaa, sasa yupo kule Gereza la Ileje hana mbele wala nyuma. Sasa hapa Rungwe tunammendea mkewe tu.Chadema bhana,dj kalamba asali,makamu kaamua atafute huruma za mabeberu usa.
Wacha weeeee, jaribu na wewe basi. Sema upo wapi tukutafutie kesi ya kubaka ule nyundo 30 tuone kama utakuwa kama Mandela. Mpelekeeni jamaa sabuni pale Gereza la uanda Mbeya.Hata Nelson Mandela alikuwa analala peke yake gerezani miaka 27,waliokuwa nje ya magereza waliendelea kupaza sauti zao hatimaye Mandela akatoka gerezani na kuwa Rais wa nchi.
Hivi, huyu ana qMwambieni sasa Mwamakula baada ya msiba aende akaongoze wanakondoo wake. Ni muda mrefu hajawahi kupanda kwenye madhabahu kuongea mambo ya dini
Makanisa ni mali ya waumini , Maaskofu ni watumishi tuNionyeshe lilipo kanisa la Mwamakula na wafuasi wake ili nijione mjinga
swali zuriVipi bilionea Sugu alihudhuria?
Hana kanisa huyuHivi, huyu ana q
Wanakondoo kweli? Wapi? Kanisa gani?
Nionyeshe kanisa analohudumu huyo tapeli Mwamakula sasaMakanisa ni mali ya waumini , Maaskofu ni watumishi tu
Laana inakunyemelea kwa kasi sana .Nionyeshe kanisa analohudumu huyo tapeli Mwamakula sasa
aise dah,Bado sijafahamu sababu hasa za Wanasiasa kujazana kwenye Msiba wa Bibi yule , ambaye yeye mwenyewe hakuwa Mwanasiasa.
Bali nadhani uwepo wa Mtoto wake , mpigania haki Emmaus Bandekile Mwamakula yaweza kuwa chanzo cha kujazana kwa wanasiasa kwenye msiba huo wa mkulima mdogo wa Kijiji cha Itunge.
Sijui kama walialikwa ama la , Lakini ccm ndio waliokuwa wa kwanza kutoa salamu zao kwenye msiba huo , wakiongozwa na Diwani wa eneo hilo pamoja na Mwakilishi wa Mbunge , kama kawaida ya ccm wakaleta porojo zao za ujenzi wa barabara kutoka Community center hadi Itunge , jambo ambalo lilizua zogo msibani hapo , hii ni baada ya Waombolezaji kutokuwa na imani na ccm, wanadai porojo hizo ni za kila mwaka.
Kazi ikaanza baada ya Wawakilishi wa Chadema, ambao ni Mwenyekiti wa Mkoa wa Mbeya, China wa China na Twaha Mwaipaya kutoka Bavicha Taifa , baada ya hawa kupewa kipaza sauti Msiba ukageuka kuwa Shangwe, walipangua uongo wote wa ccm, hakika Chadema Kyela ina watu.
Kwamba kila mtu anaweza kupora mic na kutoa salanu ?aise dah,
huko kwenu msibani unaalikwa? π³
kwamba ndio jibu la mualiko msibani?Kwamba kila mtu anaweza kupora mic na kutoa salanu ?
Huna ujualokwamba ndio jibu la mualiko msibani?
kwenye siasa na mambo mengine, ukimtegemea Mungu, kisha ukawa na hekima halafu ukajaaliwa uelewa au ufahamu wa kutosha juu ya masuala mbalimbali,
hakuna kitu itang'angana kwa roho yako na utajikuta tu haunung'uniki wala kumlaumu huyu ama yule juu ya kwasabb yeyeote ile.....
Watu waache kuomboleza msiba wakuhurumie wewe unadai kupokwa mic kwa siasa uchuroHuna ujualo