Msiba wa mpenzi na Sherehe ya ndugu!

Ngoja nikupiem jibu! Msiba unaweza piga simu na kulia kizushi, ila sherehe shurti uwepo
Mchungaji naomba nijiengue kanisani rasmi!Kama hata kumsapoti koondoo kwa hili huwezi basi bwana!
 
Msiba kwanza,sherehe ntatuma zawadi.
 
lizzy, kuna jamaa alichagua mnuso akakuachia msiba?
wewe ufanye urud mjini nimeshakumis mie
kuwa mjane kwa wiki 2 zimenitosha
i want u bak,i mis yr swaga n ol dat ....i dnt want to hold the flng of empytness anymore ..i want 2b fld up wth u .....missng u jaman



akina bgrta na gy,finest ,teamo wamenitenga na hawaniiti tena vkaoni..jana wameniita usiiiiiiiiku kwa kujua kabsa staweza kwenda....plllls ruuuuud jaman.....m yatima wa mapenzi!!!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…