Msiba Wa Mwana JF

Poleni sana wafiwa. Hii ni njia yetu wote tujiweke tayari kukabiliana nayo
 
Ayubu 1:21.
Akasema, (Ayubu) Mimi nalitoka tumboni mwa mama yangu nili uchi, nami nitarudi tena huko uchi vilevile; Yehova alitoa, na Yehova ametwaa; Jina la Yehova na libarikiwe.

Amen
 
poleni sana wafiwa.
roho ya marehemu ipate mapumziko mema
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…