Hivi maprofessor wamewakosea nini watanzania. Uprofesa ni cheo tu kule chuoni yaliyobaki ni kujiongeza kutegemea na mazingira. Mnategemea makubwa sana toka kwao lakini ni wachache wajuao ni mazingira gani wanafanyia kazi. Kwani kuzikwa kama mwanakijiji wa kawaida kuna tatizo gani?Tunao maprofesa hapa nchini kama watakufa leo watazikwa kama wanakijiji wa kawaida Tu.
HahaaassssCharity begins at home, muanze na baba yake marehemu prof. Mutahaba maana mpaka mwanae anakufa hatukuwahi kumjua[emoji23][emoji23][emoji23][emoji119][emoji119][emoji119]
Sent using Jamii Forums mobile app
lakini atleast yeye kazaa mwana ambaye maiti yake imeagwa kama Rais wa TanzaniaCharity begins at home, muanze na baba yake marehemu prof. Mutahaba maana mpaka mwanae anakufa hatukuwahi kumjua[emoji23][emoji23][emoji23][emoji119][emoji119][emoji119]
Sent using Jamii Forums mobile app
Angalia na alikoitoa hiyo elimu mkuu.. Ruge pamoja na umri wake mdogo na elimu ya kawaida kabisa (sio PhD wala Master's)
Aina ya watu aliowahudumia wamemkuza.. Sidhani Kama kuna kikubwa zaidi ya hili tukio Kukuzwa sana!Ruge pamoja na umri wake mdogo na elimu ya kawaida kabisa
Kodi nyingi za wauza vitumbua zilitumika kumfanya yeye awe professor lakini hajarudi kwao kuwaonyesha namna bora ya kuoka vitumbua bila kuumizwa na moshi wa mafuta na mkaa wakati wa kuchoma vitumbua. Kazi Yao ni kuandika tafiti za kupandia vyeo na kuishia kwenye makabati ya maktaba. NyambafuHivi maprofessor wamewakosea nini watanzania. Uprofesa ni cheo tu kule chuoni yaliyobaki ni kujiongeza kutegemea na mazingira. Mnategemea makubwa sana toka kwao lakini ni wachache wajuao ni mazingira gani wanafanyia kazi. Kwani kuzikwa kama mwanakijiji wa kawaida kuna tatizo gani?
Maprofesa wetu wamezaliwa kijijini na wakunga wa jadi, walichapwa sana shuleni hadi wanaingia woga na hofu iliyobaki vifuani mwao hadi uzeeni.Charity begins at home, muanze na baba yake marehemu prof. Mutahaba maana mpaka mwanae anakufa hatukuwahi kumjua[emoji23][emoji23][emoji23][emoji119][emoji119][emoji119]
Sent using Jamii Forums mobile app
Sio hivyo, wanahabari wangapi wamekufa hapa mkuu? Mbona hatukuyaona haya ya Ruge?Ila jamaa kwakuwa alikuwa kwenye industry ya media kwa kiasi kikubwa imekuwa ikimbeba na kumfanya kujulikana zaidi!
Sent using Jamii Forums mobile app
Kama ,yule kalamagamba, is holible proffesor,, na yule profesa mwenye uprofesa wenye itikadi ya chama,Burnes banaKabisa tuna maprofesa uchwara na maprofeseli wengi sana.