kavulata
JF-Expert Member
- Aug 2, 2012
- 13,778
- 14,214
Heshima ya mtu haitatokana na umri wako, elimu yako wala cheo chako kwenye jamii, bali itatokana na huduma yako Kwa jamii.
Unaowahudumia ndio watakaokukweza sio waliokuteua.
Tunao maprofesa hapa nchini kama watakufa leo watazikwa kama wanakijiji wa kawaida Tu. Elimu zao hazihusiki katika kutatua shida na kero za wanajamii wa kawaida kabisa. Ruge pamoja na umri wake mdogo na elimu ya kawaida kabisa (sio PhD wala Master's) lakini watu walifaidika nayo moja Kwa moja kiasi cha kuwafanya wajitokeze Kwa wingi kumlilia.
Elimu yako, cheo chako na umri wako ni bure kabisa kama raia wa kawaida kabisa kule nanjilinji.
Unaowahudumia ndio watakaokukweza sio waliokuteua.
Tunao maprofesa hapa nchini kama watakufa leo watazikwa kama wanakijiji wa kawaida Tu. Elimu zao hazihusiki katika kutatua shida na kero za wanajamii wa kawaida kabisa. Ruge pamoja na umri wake mdogo na elimu ya kawaida kabisa (sio PhD wala Master's) lakini watu walifaidika nayo moja Kwa moja kiasi cha kuwafanya wajitokeze Kwa wingi kumlilia.
Elimu yako, cheo chako na umri wako ni bure kabisa kama raia wa kawaida kabisa kule nanjilinji.