hjayhals
JF-Expert Member
- Feb 13, 2013
- 768
- 559
kutokana na mgogoro ulioibuka hapa donge kwenye mazishi ya sheikh nassor bachuu pale kaburi lake lilipochimbwa karibu na msikiti kitu ambacho kwa mujibu wa ahli sunna ni kosa na wamekataa kabisa kumzika hapo na tayari wamekaa kikao pamoja na wanafamilia na wameshatoa uamuzi kupitia sheikh nurdin kishki na kinachofuata hivi sasa ni kuchimbwa kaburi jengine na wamewataka maelfu ya waislamu waliofika hapo kuwda na subra HII NI NOW NOW
sehemu inayofaa kuzika ni sehemu iliyohifadhiwa kwa ajili ya makaburi, haifai pia kuzika nyumbani au kwenye mashamba ya nyumbani kutokana na kuwa hakuna idadi ya watu wengi watakaofika huko na mara kwa mara kwa ajili ya kuwaombea dua, makaburini kila wakati wanazikwa kwa hiyo dua zinamiminika kila wakati. Msikitini au pembeni au mbele ya msikiti HAIFAI na pia Haifai kuswali kwenye msikiti wenye kaburi aidha ndani au mbele kwa nje au pembeni.