Msibabaike na magwanda na PR Traore. Mwafrika ni Mwafrika tu. Lazima ajikusanyie vya kwake vya kutosha

Msibabaike na magwanda na PR Traore. Mwafrika ni Mwafrika tu. Lazima ajikusanyie vya kwake vya kutosha

Eli Cohen

JF-Expert Member
Joined
Jun 19, 2023
Posts
4,460
Reaction score
13,715
Demokrasia haikuundwa kwa ajili ya Muafrika.

Jamaa anatinga magwanda na vimaneno vya ushujaa, na mnamuona mkombozi, aaah wapi, Africa ishakuwa corporate hii, africa ni mgodi😂😂

Kama aliivyoingia kwa force atatoka kwa force na vitu vyenu😂, chezea ngozi nyeusi wewe mla matofali aka ugali
 
Demokrasia haikuundwa kwa ajili ya Muafrika.

Jamaa anatinga magwanda na vimaneno vya ushujaa, na mnamuona mkombozi, aaah wapi, Africa ishakuwa corporate hii, africa ni mgodi😂😂

Kama aliivyoingia kwa force atatoka kwa force na vitu vyenu😂, chezea ngozi nyeusi wewe mla matofali aka ugali
Ni kama unamuonea wivu vile
 
hatufanani, watu wenye uchungu na mataifa yao bado wapo, sema wakijaribu kutekeleza yale wanayokusudia na vile wanataka nchi zao ziwe WANAKWAMISHWA hasa na mataifa makubwa yenye mikono yao kunako nchi husika.
Bwana mdogo traore yuko sahihi, kama ingekuwa ni wa kujilimbikizia mali asingewafukuza wazungu kule na kuondoa mifumo yao ya kikoloni.
 
Screenshot_20230611_091335_Instagram Lite.jpg
 
Demokrasia haikuundwa kwa ajili ya Muafrika.

Jamaa anatinga magwanda na vimaneno vya ushujaa, na mnamuona mkombozi, aaah wapi, Africa ishakuwa corporate hii, africa ni mgodi😂😂

Kama aliivyoingia kwa force atatoka kwa force na vitu vyenu😂, chezea ngozi nyeusi wewe mla matofali aka ugali
Corporate Nini nisaidie
 
Demokrasia haikuundwa kwa ajili ya Muafrika.

Jamaa anatinga magwanda na vimaneno vya ushujaa, na mnamuona mkombozi, aaah wapi, Africa ishakuwa corporate hii, africa ni mgodi😂😂

Kama aliivyoingia kwa force atatoka kwa force na vitu vyenu😂, chezea ngozi nyeusi wewe mla matofali aka ugali
Kwa akili za hivi
kweli watu hatufanani
Pole sana
 
U
Demokrasia haikuundwa kwa ajili ya Muafrika.

Jamaa anatinga magwanda na vimaneno vya ushujaa, na mnamuona mkombozi, aaah wapi, Africa ishakuwa corporate hii, africa ni mgodi😂😂

Kama aliivyoingia kwa force atatoka kwa force na vitu vyenu😂, chezea ngozi nyeusi wewe mla matofali aka ugali
Ubovu wako usiniambukize mimi.
 
sawa ila anavyovifanya havikiwah for 200burkinafaso havijawah kufanyika.na mbona sasa hadi yues kuna ufisadiqu hujaiona doge team ya eleon musk inavopata watumish hewa
 
Demokrasia haikuundwa kwa ajili ya Muafrika.

Jamaa anatinga magwanda na vimaneno vya ushujaa, na mnamuona mkombozi, aaah wapi, Africa ishakuwa corporate hii, africa ni mgodi😂😂

Kama aliivyoingia kwa force atatoka kwa force na vitu vyenu😂, chezea ngozi nyeusi wewe mla matofali aka ugali
mseme raisi wako uliopo nchini mwako achana na yatu .we tengeneza ccm kuwa soko la mboga mboga
 
Back
Top Bottom