Msibabaike na magwanda na PR Traore. Mwafrika ni Mwafrika tu. Lazima ajikusanyie vya kwake vya kutosha

Msibabaike na magwanda na PR Traore. Mwafrika ni Mwafrika tu. Lazima ajikusanyie vya kwake vya kutosha

Demokrasia haikuundwa kwa ajili ya Muafrika.

Jamaa anatinga magwanda na vimaneno vya ushujaa, na mnamuona mkombozi, aaah wapi, Africa ishakuwa corporate hii, africa ni mgodi😂😂

Kama aliivyoingia kwa force atatoka kwa force na vitu vyenu😂, chezea ngozi nyeusi wewe mla matofali aka ugali
wewe sijui ni mwafrika wa aina gani????unaponda waafrika wenzako,,,mbona kuna wzungu walikuwa wapumbavu na hausemi?...akina adolf hitler,mussolin, na sasa kuna huyu zelensky.....lakini hausemi,,,ok,,,,kuna wazungu kama kina tony blair,,,waliziziztiza tusipohalalisha ushoga hatutapewa misaada!!!
 
Demokrasia haikuundwa kwa ajili ya Muafrika.

Jamaa anatinga magwanda na vimaneno vya ushujaa, na mnamuona mkombozi, aaah wapi, Africa ishakuwa corporate hii, africa ni mgodi😂😂

Kama aliivyoingia kwa force atatoka kwa force na vitu vyenu😂, chezea ngozi nyeusi wewe mla matofali aka ugali
Kweli 100% ndo mana simsuprt kwa vijimaneno vyake
 
Back
Top Bottom