Demokrasia haikuundwa kwa ajili ya Muafrika.
Jamaa anatinga magwanda na vimaneno vya ushujaa, na mnamuona mkombozi, aaah wapi, Africa ishakuwa corporate hii, africa ni mgodi😂😂
Kama aliivyoingia kwa force atatoka kwa force na vitu vyenu😂, chezea ngozi nyeusi wewe mla matofali aka ugali