Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
una maanisha navyo fupisha maneno! Ni kwasabu nimeipost kwa kutumia simu najaribu kupunguza wing wa maneno
Mwana nitajie jina analotumia Facebook., just fahari ya macho..))
kumbe ndo kuandika ki facebook hivyo ndo maana kuna maneno yamenipa utata mie kam[ 4c game] hili neno sijalielewa hataStory nzuri ila unaandika ki'facebook zaidi.
...........Nadhan mtakumbuka mwaka 2010 vyuo vkuu vlifunga likzo ndefu ili wanafunz wake waweze kushrik uchaguz.....................
Sasa siku nliyo kuja kuchoka ni siku alipo niambia kaolewa ana watoto 2 mapacha wanaish m0ro mumewe ana asili ya oman na anafanya kaz dubai...............
TOKA 2010 HADI 2011 INAWEZEKANA MWANAMKE KUJIFUNGUA WATOTO WAWILI KATIKA NORMAL CIRCUMSTANCES???AU NI YAKUFIKIRIKA ZAIDI...
Watoto mapacha,means ni mimba mojaa tu