Msichana apigwa na bwana wake baada ya kunyonya chuchu za Diamond

Msichana apigwa na bwana wake baada ya kunyonya chuchu za Diamond

C.T.U

JF-Expert Member
Joined
Jun 1, 2011
Posts
5,074
Reaction score
3,743
Show ya Diamond platnumz iliyofanyika Kahama, imefagiliwa kwenye mitandao mbalimbali kwa ukali wake. Kama kawaida, mara nyingi vituko huambatana na matukio ya watu kujirusha usiku. Show ya Diamond haikuwa tofauti.


Binti alipokua kwenye show ya Diamond, uzalendo ulimshinda, akaenda kunyonya chuchu za diamond kama inavyoonekana pichani hapa chini. Kitendo hicho kilimuudhi bwana wake, ambapo alimvuta binti huyo na kumchapa makofi. Katika picha ya pili, binti huyo anaonekana akilia baada ya kuchezea kichapo, huku akiwa amewekwa “chemba” na boyfriend wake.

msichana-akibusu-kifua-akinyonya-chuchu-matiti-diamond.jpg





Binti uzalendo ulimshinda, akaenda kumnyonya matiti Diamond



binti-kichapo-kwa-kubusu-kifua-kunyonya-matiti-chuchu-diamond.jpg



Binti huyo akilia baada ya kuvutwa na kuchezea kichapo kutoka kwa bwana wake




07bc6afe962b11e297bf22000a1f9263_71.jpg
 
Back
Top Bottom