Msichana kafunguka nifanyeje.


Mambo hayo hayana formula lakini mambo mawili ni lazima kutokea, yaani kufeli au kufanikiwa. Hakuna fundi ndugu yangu bali moyo ni muamuzi.
 
Ushauri wa kwanza unao wewe wengine ni kujazia tu, kipendacho moyo hula nyama mbichi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…