Inaonekana huyu dada amepatikana, kulingana na hii tweet hapa.
Serikali yake je ya Italy inafanya Nini kuhusu Jambo hili?wacha niwe mkalimani
Tomorrow it will be 7 months from the abduction of
#SilviaRomano. # I believe the time has come
mh walishindwa kumtafuta wakamsingizia eti ana husika na ma deal ya pembe za ndovu ๐๐๐๐๐๐๐ hawa majiran zetu bana ....ata wale wa cuba si mapak leo haijulikan
Unaikumbusha mtoto georgina ndani ya malindi.....[emoji106]Haha hapa umenikumbusha Malindi hawa Waitaliano wazungu wa unga walivyo pachafua ni watoto ma Halfcast kila mahali
Dah Mtwapa nitakuja tena
Translation ya tweet hapo juu kanichanganya kidogo. Bado huyu dada hajulikani alipo. Jamaa mmoja toka Italy amesema hivi: โWe are the second economic power in Europe and the seventh one in the World but in fact we canโt do **** about our kidnapped citizenโฆโSerikali yake je ya Italy inafanya Nini kuhusu Jambo hili?
Hajapatikana bado.Translation ya tweet hapo juu kanichanganya kidogo. Bado huyu dada hajulikani alipo. Jamaa mmoja toka Italy amesema hivi: โWe are the second economic power in Europe and the seventh one in the World but in fact we canโt do **** about our kidnapped citizenโฆโ
Haya mambo hayaeleweki.
Ni kweli bado hajapatikana. Ni jambo la kusikitisha sana. I canโt even begin to imagine how the parents of the girl are feeling. Pengine mtoto wao anahitaji matibabu, na hawawezi kumsaidia.Hajapatikana bado.