Huyu msichana kutoka Italy ambaye alitekwa nyara pale Kilifi, pwani ya Kenya mwaka jana, Bi Silvia Romano, ni kama amesahaulika kabisa! Kuna wakati gazeti za Kenya ziliandika kuwa yeye bado yuko hai, na yuko Kenya.
Ni wapi Kenya magaidi wanaweza ficha mateka karibu mwaka mzima bila kujulikana?
Silvia Romano, Italian Kidnapped in Kenya Still Missing
Ni wapi Kenya magaidi wanaweza ficha mateka karibu mwaka mzima bila kujulikana?
Silvia Romano, Italian Kidnapped in Kenya Still Missing