Mtu kapatwa na heart attack afu anatak kufanya ngono?
Am palalalaizid, how?
Mtu akipatwa na heart attack anatakiwa akimbizwe hospital, wewe unawaza kumngonoa?
Ndugu mtoa mada bila shaka inawezekana hufahamu maana na matumizi ya neno heart attack otherwise u wouldnt have used it here to describe the condition of ur subject
heart attack is a serious medical emergency and carries high mortality even in best centers or well resourced places. However this is not the topic in concern.
kuhusu kuongonoka kwa mtu mwenye heart problem, depends much ana aina gani ya ugonjwa wa moyo as kila ugonjwa merits special and unique consideration. In other words it is not generalizable.
What is generalizable ni kwamba kwa kila mtu mwenye heart problem awe makini linapokuja swala la kungonoka. This comes as kwenye tendo zima brings about excitement and increase work demand on the heart that may comprimise smooth function of the already sick heart and inadvertently cause fatal outcome. Matukio haya siyo mageni katika jamii zetu all over the world.
but just to re-iterate my point, specific heart conditions warrant specific health tips and advice but al together sex is not absolutely contraindicated, however adviced at 'owners' discretion.
Sio kila mtu anayeishiwa pumzi Ana tatizo la moyo. Inawezekana anasumbulia na chronic obstructive pulmonary disease au kifupi COPD, dalili kubwa ni kuishiwa pumzi, if that's true tatizo hili halina Tiba zaidi ya kuli manage/control kwa kufanya mazoezi kiasi, lakini ni vyema kumpeleka hospital kwa uchunguzi zaidi.
Ndugu mtoa mada bila shaka inawezekana hufahamu maana na matumizi ya neno heart attack otherwise u wouldnt have used it here to describe the condition of ur subject
heart attack is a serious medical emergency and carries high mortality even in best centers or well resourced places. However this is not the topic in concern.
kuhusu kuongonoka kwa mtu mwenye heart problem, depends much ana aina gani ya ugonjwa wa moyo as kila ugonjwa merits special and unique consideration. In other words it is not generalizable.
What is generalizable ni kwamba kwa kila mtu mwenye heart problem awe makini linapokuja swala la kungonoka. This comes as kwenye tendo zima brings about excitement and increase work demand on the heart that may comprimise smooth function of the already sick heart and inadvertently cause fatal outcome. Matukio haya siyo mageni katika jamii zetu all over the world.
but just to re-iterate my point, specific heart conditions warrant specific health tips and advice but al together sex is not absolutely contraindicated, however adviced at 'owners' discretion.
OMG
huyu mtu hatari sana.