Kaizer
Platinum Member
- Sep 16, 2008
- 25,324
- 17,846
mmmh! Unaongea kama unamfahamu husninyo.
Husninyo ninayemfahamu alijoin hapa Oct 2010, ni Premium member.....michango yake inafahamika, eeh.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
mmmh! Unaongea kama unamfahamu husninyo.
Nataka kujaribu (kufanya nae mapenzi) amenikatalia. Ninampenda, nifanyaje?
he kwani watu wasipofanya ngono ni kuuza mbuzi kwenye gunia? tuwe na uvumilivu kwani ngono ina madharawewe unataka kununua mbuzi kwenye gunia? ukikuta paka?
Too short to be understandable.
Mmefahamiana lini??
Mnajuana kiasi gani??
Mmepima??
Unampenda kwa malengo gani??
Kama anasoma atashiriki vipi mapenzi???
kwani kwenye maandalizi ya ndoa mmefikia hatua gani?
Ufanye naye ngono ili umchoke? vumilia tu fanya haraka kama mmeridhiana basi chapchap fungeni ndoa kisha utakula tu hilo tunda!