Msichana unatakiwa ku mshamba fulani

asha mushi

Member
Joined
Feb 23, 2017
Posts
33
Reaction score
29
*Demu anatakiwa kuwa mshamba kiana......*

_Sio demu anamjua mpaka Cheki Noris,Anord Shozniga,Michael Dadkof....huna hata cha kumdanganya?...._

_Inatakiwa ukimuuliza "baby unamjua Lukaku?" anakujibu "ni yule rafiki yako wa kijijini?"_

_Baby hivi Hazard unamjua?" anakujibu "si ndo yule mtoto wa mama James?"......._

_sio demu anajua matimu ya mpira bongo mpaka ulaya,anaijua hadi Kasimpasa ya Uturuki......_

_Demu ukiangalia nae The Walking Dead au Wrong turn hata hashtuki,amekodoa mi macho tu mwanzo mwisho...._

_inatakiwa akiangalia muvi za kutisha anakukumbatia kumbatia "baby toa bn mi ntaota".....au "au maskin si atamuua sasa"....._

_Sio demu anaangalia picha la mavampire anashabikia "bora life,linakiherehere sana!....."_

_Mi napenda demu nikimwambia "Leo Chelsea anacheza na Man U"....yeye aniambie "kumbe kombe la dunia limeanza?".........._

_Sio demu anakutajia mpaka first eleven ya Burnley,demu gani huyo!!!??_
 
Yayayaaaa....mke wangu kapiga 86000 leo,chezea wanawake wa kiswazi weweh!
 
Wanabeti vipi?? Nifundishe
Hao wanawake wa Kigogo.. Halafu wanaimbaga kabisa.. Masela muda wa kubeeeet muda wa kubet.... Naweza kukufundisha mimi ila sio kubet kabisa kabisa.. But inafanana na betting
 
Ila huu mwandiko wa mtoa mada ni wa kiume halafu id ya kike.. Inashangaza
 
Vbanda vya kubet now
Wanawake co wakuhesabu tena
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…