Wangari Maathai
JF-Expert Member
- Aug 13, 2018
- 34,962
- 70,576
Hahahahahaa nimejikuta naπMama nakusalimu kwa Jina la Jamhuri! π
Hatimae FAIZA FOXY amejibu.Kama ana miaka 36 na bado ni "msichana" dawa ni aondoke kwenye usichana awe mwanamke (aolewe).
Akitoka tu kwenye usichana tatizo lake litakuwa historia.
Mambo bibi bomba aimisyuKama ana miaka 36 na bado ni "msichana" dawa ni aondoke kwenye usichana awe mwanamke (aolewe).
Akitoka tu kwenye usichana tatizo lake litakuwa historia.
Poleni Sana...Kama hospital imeshindikana jaribuni na kwenye mitishamba +maombiWakuu kwema? Tunaomba msaada wa kitabibu/ ushauri ili huyu mwanamke apone. It's more than 5 years ila saiz hali ndio inazidi kuwa mbaya Zaidi, huyu ni binamu yangu analalamika kuumwa na kiuno na sehem ya chini ya mgongo. Ameenda hospital wanamwambia tatizo hilo limesababishwa na uzazi na kuanza kufanya kazi nzito baada ya kujifungua. Kama kuna mtu anafaham dawa/ tiba tunaomba atujuze tafadhali.Mwanamama huyu ana watoto wa tatu kwa sasa.
Huu ushauri wa bibi sasaKama ana miaka 36 na bado ni "msichana" dawa ni aondoke kwenye usichana awe mwanamke (aolewe).
Akitoka tu kwenye usichana tatizo lake litakuwa historia.