Msichana wa 36 anasumbuliwa sana na Maumivu ya Kiuno. Afanye nini?

Msichana wa 36 anasumbuliwa sana na Maumivu ya Kiuno. Afanye nini?

Kama ana miaka 36 na bado ni "msichana" dawa ni aondoke kwenye usichana awe mwanamke (aolewe).

Akitoka tu kwenye usichana tatizo lake litakuwa historia.
Hatimae FAIZA FOXY amejibu.
 
MTOTO/WATOTO WAKE HUZAA NA KILO NGAPI? VIPI PRESHA AMEPIMA, NAHISI ALIPATA KITU KINAITWA OBSTETRIC PALSY, JISOMEE KWENYE GOOGLE REMEDIES ZAKE KAMA KINGEREZA SI TATIZO KWAKO, BUT CT SCAN LUMBO-SACRAL IS GOOD MOVE
 
Wakuu kwema? Tunaomba msaada wa kitabibu/ ushauri ili huyu mwanamke apone. It's more than 5 years ila saiz hali ndio inazidi kuwa mbaya Zaidi, huyu ni binamu yangu analalamika kuumwa na kiuno na sehem ya chini ya mgongo. Ameenda hospital wanamwambia tatizo hilo limesababishwa na uzazi na kuanza kufanya kazi nzito baada ya kujifungua. Kama kuna mtu anafaham dawa/ tiba tunaomba atujuze tafadhali.Mwanamama huyu ana watoto wa tatu kwa sasa.
Poleni Sana...Kama hospital imeshindikana jaribuni na kwenye mitishamba +maombi

Uliza watu wazima hasa kina bibi
 
Tatizo Hilo Mara nyingi linatokana na kubeba mzigo mzito, hususani Kama ni mama au Dada ndio za maji. Wengine wananyanyua ndio hizo umbali mrefu. Matokeo yake ni Justus pingili za chini sehemu UTI wa mgongo na kiuono. Pole sana. Akapige x Ray kwanza waone kabla shida haijawa kubwa
 
Kiuno kilinisumbua sana,mpaka nikapumzika kazi zote nilizokuwa nikifanya ikiwamo Udereva nikaacha hata kuwamba Ngozi nikawa hadi najibandikia patch za dawa ndio maumivu yakaanza kupungua na hatimae kuisha kabisa

Maumivu ya Kiuno ni makali sana.
 
Back
Top Bottom