Perry
JF-Expert Member
- Feb 24, 2011
- 10,058
- 2,195
Habari zenu wananchi wenzangu..ebana leo asubuh nilipokea cmu toka kwa msichana mmoja ambae anasoma chuo flani maarufu kilichopo mitaa ya posta hapa jijin Dsm,mdada alinitaka nionane nae coz ana shida ya muhimu sana,wel kwa sababu ni mtu tunafahamiana,me nkaenda kumsikilza,cha kusikitisha mdada akanambia ana matatzo makubwa,kwanza akaanza kutoa machozi,nikadhan maybe kuna msiba,bt akanambia kuna jamaa wa hapo hapo chuon kwao kampga mimba afu mshkaji kamruka hataki hata kumuona tena,sasa dada wa watu anadai anataka kuitoa bt hana hata shilingi so eti me ndo nimsaidie pesa akaichomoe hyo mimba..kwanza nimeogopa kushirikishwa kwenye mpango ka huo as cjawah hata kufkiria kufanya hvo,nlichofanya me nimemchana live kwamba cwezi kuua,nimemwachia shiling elfu 20 za kula as alnambia kafulia mbaya.sasa wakuu,hapo ntakua nimefanya jambo la maana au nimekosea?