Msichana wangu anasumbuliwa x wake

Ninampenzi wangu ambaye soon tunafunga ndoa,
Kuna x wake anamsumbua sana akitaka warudiane nifanyeje?

Tatizo ni mpenzi wako Hana msimamo! Achana na huyo jamaa, kuna namna nyingi sana za kumkomesha mtu kama hiyo, zikishindikana hata vyombo vya USA kama, the thing is tatizo unalo wewe ambaye wakubali huyo mwanamke akuchezee
 
Ahhqhq mkuu huu mkataba naruhusiwa kuukopi??

Mkataba safi saana
 
Mi naona wote wanaosumbuliwaga huwa wanakuwa wamependa na wametaka wao.
Haijawahi tokea ex wangu akanisumbua ht kwa bahati mbaya na ht sinaga time ya kukaa nawaza khs yeye kwsbb huyu nilienae kaziba nafasi zote hd yale mapungufu ya ex. Hivyo saa ngapi sasa ntamkumbuka au kuwa na mawasiliano nae?????
 
Vaa nguo kimbia, hicho kichaka hakifai
 
Nikweli ,mana jana nilijaribu kuongea na x wake uyo kumuelekeza juu ya kile anachokifanya, baadae x wake akampigia demu akimshtumu anataka kutugombanisha, demu ananiwakia mimi kwa nini nimwambia kila kitu jamaa na kumtaja yeye ndie aliyeniambia.
Brother kwani hauna kazi za kufanya? Kwani lazima kuoa huyo?

Manzi kakuwakia kisa kusort maswala na EX, tena kachefukwa eti umemtaja?

Kama utamuoa huyo dada, anza kabisa na kutunza hela ya "gunia mbili za mkaa"
 
Unajua ukipenda inakuwa kama upofu demu amejitahidi kuonesha kwa watu kwamba mimi ni mtu wake, ukienda fb cover picture yake niyakwangu, yani apa ninapoishi kila mtu anajua natoka nae, ata mimi nilidhia kiasi cha kumtambulisha she's my wife to be.
Ameutangazia tu umma kuwa na yeye ataolewa na pimbi moja hivi, so mkiniona nae nivungieni.

Kuwekwa huko Sosho mediani sio kupendwa.

Usioe huyo
 
Uyu jamaa anamuwinda inamaana msichana akisema atoke inje kosa
.
Msichana asipokua makini, kuna uwezekano mkubwa wa kunyang'anywa tonge mdomoni!, anatakiwa na msimamo mkali, mazoea mazoea ya kukubali kusumbuliwa asiyakubali ata kidogo. Wanawake hua ni wadhaifu sana, anaeza akashawishika kirahisi saana endapo atampa nafasi ya kumsikiliza...
 
Ninampenzi wangu ambaye soon tunafunga ndoa,
Kuna x wake anamsumbua sana akitaka warudiane nifanyeje?
Wakati wewe unaanzisha na kujenga uhusiano, ex anatafuta nafasi ya kuendelezea alipoishia.

Sasa kwenye hili, uwe makini maana unaweza kuwa ex mtarajiwa.

Ni mwanamke pekee atakaye amua hatma ya mahusiano na ex wake ama kukufanya wewe ex wake.

Kama ambavyo ex huyo anaweka effort za kumsumbua inabidi effort za kumkataa za mpenzi wako ziwe kubwa kuliko style anayosumbuliwa.
 
Hamna x msumbufu, huwa tunawapa nafasi wenyewe!

Nachojua ukisema HAPANA, huwa wanaelewa sana tuu!
 
Acha uchapiwe tu na ulee mwana wa wana kama ulivyowaacha hao masingle mum na wewe wakunyooshe ipasavyo
 
Hamna x msumbufu, huwa tunawapa nafasi wenyewe!

Nachojua ukisema HAPANA, huwa wanaelewa sana tuu!
Hakika.
Ni Jinsi unavyompa mtu nafasi....ukiamua asikutafute Tena unaweza..ukijilegeza legeza shauri zako
 
Kwani mrembo wako anasemaje?
Naongezea hapo,yeye mwenyewe naye ana mpango gani wa kuhakikisha huyo jamaa hasogei maeneo yake na kuweza kumharibia?becareful guy,usipoangalia huruma ya huyo mwanamke wako kwa jamaa yake wanaweza fikia tamati ya kuwa waendelee pamoja na wewe ukiwa muoaji...!!
 
Nikweli ,mana jana nilijaribu kuongea na x wake uyo kumuelekeza juu ya kile anachokifanya, baadae x wake akampigia demu akimshtumu anataka kutugombanisha, demu ananiwakia mimi kwa nini nimwambia kila kitu jamaa na kumtaja yeye ndie aliyeniambia.
Ina maana huyo jamaa mnajuana ndio maana amemwambia demu anataka kuwagombanisha.Mkuu, kama una rafiki anayemtongoza mchumba wako na waliwahi kuwa wapenzi ni bora uwaze mara mbili mbili.

Hapo hamna urafiki tena na pengine hata hiyo ndoa.Tulia ufanye utafiti peke yako bila kuletewa taarifa.Ikibidi uahirishe ndoa tuu usije ukajutia baadae.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…