Ninampenzi wangu ambaye soon tunafunga ndoa,
Kuna x wake anamsumbua sana akitaka warudiane nifanyeje?
Ahhqhq mkuu huu mkataba naruhusiwa kuukopi??Mkuu hata mimi kuna ex wangu anaolewa nimemsumbua hadi kakubali kuingia mkataba nisiwe namsumbua tena...
Makubaliano ya mkataba wetu.
Kwa mwaka tutakutana mara nne kufanya tendo yani kila baada ya miezi minne,
Atanisave kaka,
Tutakua tunachat mara moja moja mchana kama kaka na dada mpka siku za tendo zikaribie,
Kama akipata mimba basi sihusiki ni ya mumewe.
Take care mkuu
Brother kwani hauna kazi za kufanya? Kwani lazima kuoa huyo?Nikweli ,mana jana nilijaribu kuongea na x wake uyo kumuelekeza juu ya kile anachokifanya, baadae x wake akampigia demu akimshtumu anataka kutugombanisha, demu ananiwakia mimi kwa nini nimwambia kila kitu jamaa na kumtaja yeye ndie aliyeniambia.
Ameutangazia tu umma kuwa na yeye ataolewa na pimbi moja hivi, so mkiniona nae nivungieni.Unajua ukipenda inakuwa kama upofu demu amejitahidi kuonesha kwa watu kwamba mimi ni mtu wake, ukienda fb cover picture yake niyakwangu, yani apa ninapoishi kila mtu anajua natoka nae, ata mimi nilidhia kiasi cha kumtambulisha she's my wife to be.
Msichana asipokua makini, kuna uwezekano mkubwa wa kunyang'anywa tonge mdomoni!, anatakiwa na msimamo mkali, mazoea mazoea ya kukubali kusumbuliwa asiyakubali ata kidogo. Wanawake hua ni wadhaifu sana, anaeza akashawishika kirahisi saana endapo atampa nafasi ya kumsikiliza...Uyu jamaa anamuwinda inamaana msichana akisema atoke inje kosa
.
Na moyoni cover picture ni ya nani?Kwa madai yake ananipenda mimi ndio mana hakuna siri,kama utaenda fb cover picture yake ni picha yangu.
Wakati wewe unaanzisha na kujenga uhusiano, ex anatafuta nafasi ya kuendelezea alipoishia.Ninampenzi wangu ambaye soon tunafunga ndoa,
Kuna x wake anamsumbua sana akitaka warudiane nifanyeje?
Hamna x msumbufu, huwa tunawapa nafasi wenyewe!Mi nashangaaga hawa ma X ni vipi wanakuwa na nguvu kama hawawi entertained na wapenzi wetu.
Unakuta mtu anawasiliana nae tena kwa kuanza kumfokonyoa kila siku ili wachat kipindi wewe ukiwa mishe mishe. Kisha ukiuliza vipi unajibiwa kua jamaa ndie msumbufu.
Sio tu kusema hapana na kuimaanisha hio hapanaHamna x msumbufu, huwa tunawapa nafasi wenyewe!
Nachojua ukisema HAPANA, huwa wanaelewa sana tuu!
Hakika.Hamna x msumbufu, huwa tunawapa nafasi wenyewe!
Nachojua ukisema HAPANA, huwa wanaelewa sana tuu!
Inaruhusiwa mkuu kikubwa ni umakini tu penzi lisije noga mkakamatwaAhhqhq mkuu huu mkataba naruhusiwa kuukopi??
Mkataba safi saana
Kawaida tu hapo mjanja ni mumewe bana analala na ile mashine mnato kila siku[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji38] basi unajiona mjanja sana hapo.
Hyo haipo kwa mwanamke akitiwa dudu basiHamna x msumbufu, huwa tunawapa nafasi wenyewe!
Nachojua ukisema HAPANA, huwa wanaelewa sana tuu!
Naongezea hapo,yeye mwenyewe naye ana mpango gani wa kuhakikisha huyo jamaa hasogei maeneo yake na kuweza kumharibia?becareful guy,usipoangalia huruma ya huyo mwanamke wako kwa jamaa yake wanaweza fikia tamati ya kuwa waendelee pamoja na wewe ukiwa muoaji...!!Kwani mrembo wako anasemaje?
Ina maana huyo jamaa mnajuana ndio maana amemwambia demu anataka kuwagombanisha.Mkuu, kama una rafiki anayemtongoza mchumba wako na waliwahi kuwa wapenzi ni bora uwaze mara mbili mbili.Nikweli ,mana jana nilijaribu kuongea na x wake uyo kumuelekeza juu ya kile anachokifanya, baadae x wake akampigia demu akimshtumu anataka kutugombanisha, demu ananiwakia mimi kwa nini nimwambia kila kitu jamaa na kumtaja yeye ndie aliyeniambia.