KING MIDAS
JF-Expert Member
- Dec 1, 2010
- 8,589
- 16,936
Tumekuwa marafiki kama mwezi na nusu sasa.
Tatizo nikiwa naye mzee anagoma kabisa kupanda mtungi.
Nikienda kwenye makoloni mengine, napiga mzigi hadi asubuhi.
Fumbo hili limeniacha hoi, je ninarogwa na wanaonionea wivu kwa binti huyu, au tatizo laweza kuwa nini?
Binti akiondoka tu kurudi kwake, kitu kinasimama kama mnara wa voda.
si ulitwambia umeokoka wewe,sasa vipi tena?
si ulitwambia umeokoka wewe,sasa vipi tena?
anahitaji ushauri wa Born mwaitege huyu..you've made my day aisee...Njoo ufanyiwe maombi, njoo uombewe, njoo ufanyiwe maombi ya sala ya toba.
Kwa kuzini umetenda dhambi na umelichafua hekalu la roho mtakatifu.
Tulia chini, mwombe mungu akuonyeshe yule anayekufaa kuona na kuishi naye kama ubavu wako.