Msichana wangu

Msichana wangu

Eeeee, we chiboooooko, yaani **** 3 tu wazungu nje mh uko juu sana.
 
hayo makoloni mengine ya nini tena? tumuogope Mungu janani
 
Miss Judith wewe una makoloni mangapi?
Nasikia kabila lenu mafiga matatu ni basic need
 
Miss Judith wewe una makoloni mangapi?
Nasikia kabila lenu mafiga matatu ni basic need

mi sina koloni hata moja na sihitaji kabisa. hayo ya mafiga matatu kuwa basic need sijui unaongelea watu wa imani gani, miye sijawahi kuwasikia.
 
Mkuu hapo we sepa huwezi jua hali hiyo inakuokoa na nini,mwenzio imeshanikuta hali kama hiyo na nilihangaika usiku kucha lakini ilishindikana kesho yake mtoto kanitangaza si ridhiki mtaa mzima,wakawa wanabishana na wenzake mbona kwangu aliweza?Sasa hivi tunapoongea hatunaye tena kwa kuwa kale kaugonjwa ketu kalimchukua,hivyo wala usishangae na ukimbie usirudi huwezijua malaika wako anakulinda na maswaibu gani.

hili nalo neno
 
Mkuu hapo we sepa huwezi jua hali hiyo inakuokoa na nini,mwenzio imeshanikuta hali kama hiyo na nilihangaika usiku kucha lakini ilishindikana kesho yake mtoto kanitangaza si ridhiki mtaa mzima,wakawa wanabishana na wenzake mbona kwangu aliweza?Sasa hivi tunapoongea hatunaye tena kwa kuwa kale kaugonjwa ketu kalimchukua,hivyo wala usishangae na ukimbie usirudi huwezijua malaika wako anakulinda na maswaibu gani.

hili nalo neno
 
Tumekuwa marafiki kama mwezi na nusu sasa.
Tatizo nikiwa naye mzee anagoma kabisa kupanda mtungi.
Nikienda kwenye makoloni mengine, napiga mzigi hadi asubuhi.
Fumbo hili limeniacha hoi, je ninarogwa na wanaonionea wivu kwa binti huyu, au tatizo laweza kuwa nini?
Binti akiondoka tu kurudi kwake, kitu kinasimama kama mnara wa voda.
MH!let God do the rest,u have done your part,..
 
Tumekuwa marafiki kama mwezi na nusu sasa.
Tatizo nikiwa naye mzee anagoma kabisa kupanda mtungi.
Nikienda kwenye makoloni mengine, napiga mzigi hadi asubuhi.
Fumbo hili limeniacha hoi, je ninarogwa na wanaonionea wivu kwa binti huyu, au tatizo laweza kuwa nini?
Binti akiondoka tu kurudi kwake, kitu kinasimama kama mnara wa voda.

jamani hilo sio tatizo, wee muone tu dokta manyaunyau akulishe nyama ya paka na damu mbichi za wanyama hao, utarudia u rijali wako kama kawa
 
Back
Top Bottom