Msidanganyike, Trump hawezi kurusu Ukraine iangukie mkononi mwa Urusi

Msidanganyike, Trump hawezi kurusu Ukraine iangukie mkononi mwa Urusi

ward41

JF-Expert Member
Joined
Apr 3, 2022
Posts
749
Reaction score
2,533
Sera ya MAREKANI ni ileile.
1) Ulinzi wa Israel
2) Ulinzi wa western Europe
3) NATO
4) Middle East
5) Far East

Kila kiongozi wa MAREKANI anahakikisha anatimiza hizo Sera.

Wanatofautiana misimamo tu.
Kwa hiyo tusidanganyike eti Trump atamaliza Vita ya Ukraine, hapana. Ni uongo. Ukraine na Russia wataendelea kupigana na serikali ya MAREKANI itaendelea kumsaidia Zelensky.

Huwezi kutenganisha USA na western Europe, USA na Israel.

Uhai wa MAREKANI ki biashara mkononi mwa western Europe, Australia, Canada, Japan, Korea, Taiwan.
 
Sera ya MAREKANI ni ileile.
1) Ulinzi wa Israel
2) Ulinzi wa western Europe
3) NATO
4) Middle East
5) Far East

Kila kiongozi wa MAREKANI anahakikisha anatimiza hizo Sera.

Wanatofautiana misimamo tu.
Kwa hiyo tusidanganyike eti Trump atamaliza Vita ya Ukraine, hapana. Ni uongo. Ukraine na Russia wataendelea kupigana na serikali ya MAREKANI itaendelea kumsaidia Zelensky.

Huwezi kutenganisha USA na western Europe, USA na Israel.

Uhai wa MAREKANI ki biashara mkononi mwa western Europe, Australia, Canada, Japan, Korea, Taiwan.
Maamuzi mengi makubwa nchini Marekani yanafanyika kwa mfumo wa ushirikishaji mpana wa Watu wengi wenye dhamana ya kufanya maamuzi, Rais peke yake hawezi kufanya maamuzi magumu kwa mustakabali wa nchi bila ya wenzake kuridhia, licha ya kwamba yeye Rais kwenye baadhi ya maamuzi fulani fulani anayo mamlaka ya Kura ya Turufu (Veto).
Katiba ya Marekani hairuhusu maamuzi ya kidikteta kuweza kufanyika katika nchi hiyo, Marekani siyo nchi ya kiAfrika, ambako Watawala wa nchi wana mamlaka ya kifalme.
 
Sera ya MAREKANI ni ileile.
1) Ulinzi wa Israel
2) Ulinzi wa western Europe
3) NATO
4) Middle East
5) Far East

Kila kiongozi wa MAREKANI anahakikisha anatimiza hizo Sera.

Wanatofautiana misimamo tu.
Kwa hiyo tusidanganyike eti Trump atamaliza Vita ya Ukraine, hapana. Ni uongo. Ukraine na Russia wataendelea kupigana na serikali ya MAREKANI itaendelea kumsaidia Zelensky.

Huwezi kutenganisha USA na western Europe, USA na Israel.

Uhai wa MAREKANI ki biashara mkononi mwa western Europe, Australia, Canada, Japan, Korea, Taiwan.
Usijidanganye hana unaa wa kibongo nyeupe anasema nyeupe na nyeusi ni nyeusi hana mambo ya sii hasaa za bongo.Binafsi na mfana nisha na Victor Orban na Mr.Moscovistch. a.k.a Mwamba Putin.
 
Usijidanganye hana unaa wa kibongo nyeupe anasema nyeupe na nyeusi ni nyeusi hana mambo ya sii hasaa za bongo.Binafsi na mfana nisha na Victor Orban na Mr.Moscovistch. a.k.a Mwamba Putin.
Misimamo ya Rais Trump inafanana Sana na misimamo ya aliyekuwa Rais wa zamani wa Afrika ya Kusini enzi za ubaguzi wa rangi Bw. Pieter W. Botha. Trump na Botha wanafanana kwa mambo mengi Sana.
 
Sera ya MAREKANI ni ileile.
1) Ulinzi wa Israel
2) Ulinzi wa western Europe
3) NATO
4) Middle East
5) Far East

Kila kiongozi wa MAREKANI anahakikisha anatimiza hizo Sera.

Wanatofautiana misimamo tu.
Kwa hiyo tusidanganyike eti Trump atamaliza Vita ya Ukraine, hapana. Ni uongo. Ukraine na Russia wataendelea kupigana na serikali ya MAREKANI itaendelea kumsaidia Zelensky.

Huwezi kutenganisha USA na western Europe, USA na Israel.

Uhai wa MAREKANI ki biashara mkononi mwa western Europe, Australia, Canada, Japan, Korea, Taiwan.
Mbona Biden hakutimiza hilo? Au hakuwa rais wa USA
 
Back
Top Bottom