ward41
JF-Expert Member
- Apr 3, 2022
- 749
- 2,533
Sera ya MAREKANI ni ileile.
1) Ulinzi wa Israel
2) Ulinzi wa western Europe
3) NATO
4) Middle East
5) Far East
Kila kiongozi wa MAREKANI anahakikisha anatimiza hizo Sera.
Wanatofautiana misimamo tu.
Kwa hiyo tusidanganyike eti Trump atamaliza Vita ya Ukraine, hapana. Ni uongo. Ukraine na Russia wataendelea kupigana na serikali ya MAREKANI itaendelea kumsaidia Zelensky.
Huwezi kutenganisha USA na western Europe, USA na Israel.
Uhai wa MAREKANI ki biashara mkononi mwa western Europe, Australia, Canada, Japan, Korea, Taiwan.
1) Ulinzi wa Israel
2) Ulinzi wa western Europe
3) NATO
4) Middle East
5) Far East
Kila kiongozi wa MAREKANI anahakikisha anatimiza hizo Sera.
Wanatofautiana misimamo tu.
Kwa hiyo tusidanganyike eti Trump atamaliza Vita ya Ukraine, hapana. Ni uongo. Ukraine na Russia wataendelea kupigana na serikali ya MAREKANI itaendelea kumsaidia Zelensky.
Huwezi kutenganisha USA na western Europe, USA na Israel.
Uhai wa MAREKANI ki biashara mkononi mwa western Europe, Australia, Canada, Japan, Korea, Taiwan.